Nimetokea kumpenda huyu mtoto sana mwanzo alikuwa akiniita kaka, yaani kaka kwa nahisi hakupenda kunikata jina moja kwa moja.
Lakini siku zilivyoenda moyo ulimpenda sana sana, siku moja ikabidi nimwambie la moyoni akakataa na kwamba yeye bado hajakuwa tayari kuingia katika mambo haya ni mwanafunzi wa chuo ingawa kwetu ni kumoja. Alivyonambia hivyo wala sikumlazimisha nikatulia zangu.
Lakini cha kushangaza sasa akiniandikia sms kama kuniuliza hali huniita "mpendwa" ambapo jina hili limeanza mara baada ya kumueleza nampenda. sasa sijui nishike wapi.
Naomba fatwa zenu wajuzi wa mambo haya.
Lakini siku zilivyoenda moyo ulimpenda sana sana, siku moja ikabidi nimwambie la moyoni akakataa na kwamba yeye bado hajakuwa tayari kuingia katika mambo haya ni mwanafunzi wa chuo ingawa kwetu ni kumoja. Alivyonambia hivyo wala sikumlazimisha nikatulia zangu.
Lakini cha kushangaza sasa akiniandikia sms kama kuniuliza hali huniita "mpendwa" ambapo jina hili limeanza mara baada ya kumueleza nampenda. sasa sijui nishike wapi.
Naomba fatwa zenu wajuzi wa mambo haya.