Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,276
- 17,055
Sijui ni uchakachuaji au kweli jamaa kapita hapa

sharubu za rafikiyo....ka brash lililoisha...khaaa
sharubu za rafikiyo....ka brash lililoisha...khaaa
Sijui ni uchakachuaji au kweli jamaa kapita hapa
![]()
duh! zis is big fut a.k.a shetani
haha haaaaaaaa una macho makubwa bibiee.......kingne ulichoona?
mguu wa mungu uo!!
Beach za wenzetu balaa...kuna vitrekta vya kufagia uchafu kila dakika...mchanga kama sukari
Hapana....kwa mujibu wa Shekhe wetu mashetani hayana miguu
Haka nako kalikuwa kananifuatilia wee...sikukamaindi kabisa
![]()
Hujamwona mkewe....ndiye aliyetuunganisha mimi nilikonsetreti zaidi na waifu wake...lenyewe mawiski 24 hrs mke anakunywa Dr.Pepper tu....huyu hapa...Mmarangu
![]()
halafu huo unyayo unaonekana ka wa mwana mama
duh....basi iko kazi
Atakuwa bomba sana huyo