Nilipita Bar Wanaonyesha Taarifa Ya Habari Ni Utamaduni Mzuri

MKONGA

JF-Expert Member
Feb 19, 2015
667
453
Jana nikitokea zangu mjini,Nikapita Uhuru Peak Bar kinondoni nikaona sio mbaya nikipata moja ya baridi na kongoro ili foleni nayo ivute vute.
Nilistaajabu ilipotimu saa mbili kamili walizima muziki na kuweka taarifa ya habari.
Nilivutiwa sana na ule utaratibu wa kupata newz za kutwa mezani nikiwa na ka Lite ka bariidi.
Mamziki mziki sometimes yana nafasi yake lakini habari ni muhimu hata kama tunakuwa kwenye ulevi.
Hongereni sana Uhuru Peak kwa mtindo huo, mmenipata.Hapo litakuwa chimbo langu la kupunguzia foleni na kumfuatilia Ngosha na matamko yake.
 
Jana nikitokea zangu mjini,Nikapita Uhuru Peak Bar kinondoni nikaona sio mbaya nikipata moja ya baridi na kongoro ili foleni nayo ivute vute.
Nilistaajabu ilipotimu saa mbili kamili walizima muziki na kuweka taarifa ya habari.
Nilivutiwa sana na ule utaratibu wa kupata newz za kutwa mezani nikiwa na ka Lite ka bariidi.
Mamziki mziki sometimes yana nafasi yake lakini habari ni muhimu hata kama tunakuwa kwenye ulevi.
Hongereni sana Uhuru Peak kwa mtindo huo, mmenipata.Hapo litakuwa chimbo langu la kupunguzia foleni na kumfuatilia Ngosha na matamko yake.
Niko hapa Camel pub Morogoro napata Serengeti baridii huku nafuatilia I TV news ,
 
nina uhakika na ushahidi pia kuwa bar zote nchini na nchi jirani ikifika saa 2 kamili usiku ni taarifa ya habari ITV
ukibisha we mchawi
 
Back
Top Bottom