Nyamiyaga
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 757
- 588
Ni upuuzi kwa upande waako ila kwa wengine ni BurdaniUngekuwa unaandika project flani yenye manufaa ingekuwa bora. Umetumia muda mwingi kutueleza upuuzi.
Ni upuuzi kwa upande waako ila kwa wengine ni BurdaniUngekuwa unaandika project flani yenye manufaa ingekuwa bora. Umetumia muda mwingi kutueleza upuuzi.
Duh sitasimulia hapa naishi dar kama hutajali nawezi siku tukakutana nikakusimulia.Pole sana ndugu yangu... Pole. Ilikuaje kama hutojali
..nikafungua bonet na kuangalia kweli battery ilikuwa imenyonya kabisa. nikarudi kwenye gari nligudungua kuwa alicha headlights on..
Shangingi la mbunge unalijua limekaaje wewe?? Ukiacha headlights on inatoa milio ya kuudhi huwezi kufunga mlango bila kuzima. Halafu cha ajabu mbunge atasahau vp headlights usiku kucha ina maana hiyo nyumba haina mlinzi au majirani??
Grow the f*** UP