Jiangalie kwanza wewe kama wewe unaweza kumudu which subject?
Jitahidi kujichanganya ktk threads mbalimbali humu jf ili ufahamike, kujichimbia kisiwani haitakusidia, utawanunia bure watu kwa kutochangia nyuzi zako,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulisiti c inategemea na ww mfano umesoma masomo ya biashara hayo c bookiping na commerce na masomo mengine ma5 kama labda Mathe,English,...