Nilipata division two ya 12 (PCB) nataka kurudia advance ili nifanye mtihani kama Mtahiniwa Binafsi mwakani

Mqqqqqm

Member
Oct 9, 2020
6
6
Husika na kichwa hapo juu.

Ndugu zangu wapendwa naomben ushauri wenu
Kwan mwaka huu nilihitimu kidato cha sita kwa ufaulu wa division two ya 12 nikiwa na D flat kweny combination yangu ya PCB

Kwa ndoto zangu ninataman kuwa Doctor (MD) lakin kulingana na ufaulu wangu naona itakuwa vigumu kupata chuo cha serikali kama vile Muhas hivyo nahisi nitakuwa na Uwezekano wa kupata vyuo binafsi ambavyo kiuhalisia familia yangu haipo vizur kiuchumi kunipeleka huko
Hivyo nimefikiria ku-resit mtihan mwakan ILI nipate ufaulu mzuri utakao nipelekea kuchukuliwa katika vyuo vya serikali

Baadhi ya watu waliniambia nisome Diploma ya Clinical Medicine lakin huko nako naona gharama zitakuwa kubwa ambazo sitaweza kuzimudu tena isitoshe itanichukua muda mrefu kwa Mimi kuifikia ndoto yangu

naomben ushauri wenu ndugu Jinsi ya kufanya ili kufaulu kama Private Candidate especially kwa comb ya PCB ikiwezekana hata kituo kizur cha kusomea kwa bwen
 
Bila shaka una muda wa kutosha sana kama unawaza kurudia mtihani! Kwa ushauri wangu songa mbele kwa kwenda chuo chochote kama inaruhusu kusoma hiyo MD au chukua Diploma in clinical medicine Degree ya medicine toka MUHAS utafuata ukiwa na kazi (CO) na pesa (mshahara) ila siyo kurudia mtihani ambapo unaweza rudia na ukapata four ya 18 with flat S
 
Husika na kichwa hapo juu
Ndugu zangu wapendwa naomben ushauri wenu
Kwan mwaka huu nilihitimu kidato cha sita kwa ufaulu wa division two ya 12 nikiwa na D flat kweny combination yangu ya PCB

Kwa ndoto zangu ninataman kuwa Doctor (MD) lakin kulingana na ufaulu wangu naona itakuwa vigumu kupata chuo cha serikali kama vile Muhas hivyo nahisi nitakuwa na Uwezekano wa kupata vyuo binafsi ambavyo kiuhalisia familia yangu haipo vizur kiuchumi kunipeleka huko
Hivyo nimefikiria ku-resit mtihan mwakan ILI nipate ufaulu mzuri utakao nipelekea kuchukuliwa katika vyuo vya serikali

Baadhi ya watu waliniambia nisome Diploma ya Clinical Medicine lakin huko nako naona gharama zitakuwa kubwa ambazo sitaweza kuzimudu tena isitoshe itanichukua muda mrefu kwa Mimi kuifikia ndoto yangu

naomben ushauri wenu ndugu Jinsi ya kufanya ili kufaulu kama Private Candidate especially kwa comb ya PCB ikiwezekana hata kituo kizur cha kusomea kwa bwen
Malengo yako ni kusoma md au kosoma muhas?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Husika na kichwa hapo juu
Ndugu zangu wapendwa naomben ushauri wenu
Kwan mwaka huu nilihitimu kidato cha sita kwa ufaulu wa division two ya 12 nikiwa na D flat kweny combination yangu ya PCB

Kwa ndoto zangu ninataman kuwa Doctor (MD) lakin kulingana na ufaulu wangu naona itakuwa vigumu kupata chuo cha serikali kama vile Muhas hivyo nahisi nitakuwa na Uwezekano wa kupata vyuo binafsi ambavyo kiuhalisia familia yangu haipo vizur kiuchumi kunipeleka huko
Hivyo nimefikiria ku-resit mtihan mwakan ILI nipate ufaulu mzuri utakao nipelekea kuchukuliwa katika vyuo vya serikali

Baadhi ya watu waliniambia nisome Diploma ya Clinical Medicine lakin huko nako naona gharama zitakuwa kubwa ambazo sitaweza kuzimudu tena isitoshe itanichukua muda mrefu kwa Mimi kuifikia ndoto yangu

naomben ushauri wenu ndugu Jinsi ya kufanya ili kufaulu kama Private Candidate especially kwa comb ya PCB ikiwezekana hata kituo kizur cha kusomea kwa bwen
1. Kanuni za kurudia mtihani unazijua kwa kipindi hiki? (binafsi sizijui) ila kuna miaka fulani ulikuwa ukirudia mtihani wanafuta kikao cha nyuma. i.e matokeo yanayosimama ni ya kikao ulichorudia. Fuatilia hilo ulijue usije ukajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe.

2. Kanuni za udahili zikoje kwa watu wenye kikao zaidi kimoja, nakumbuka kwenye ualimu wa GRADE A zamani, ilikuwa ili kujiunga na mafunzo ilitakiwa angalau uwe na div. 4.26 kwa kikao kimoja kwa aliye na kikao zaidi ya kimoja uwe na credit pass 4(yaani C nne.) sasa unatakiwa kujua kwa undani kanuni zikoje, hasa ukirudia mtihani halafu Somo Y ukapata A, somo X ukapata E na somo Z ukapata D. Siku hizi NECTA sidhani kama wanaunganisha cheti.

Itaendelea.......
 
1. Kanuni za kurudia mtihani unazijua kwa kipindi hiki? (binafsi sizijui) ila kuna miaka fulani ulikuwa ukirudia mtihani wanafuta kikao cha nyuma. i.e matokeo yanayosimama ni ya kikao ulichorudia. Fuatilia hilo ulijue usije ukajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe...
Unapofanya maamuzi ya kurudia mtihani, jua umeamua kucheza mchezo wa pata potea. Kwa dunia ya sasa hakuna hasara mbaya kama ya kupoteza muda.

Yaani kuliko kupoteza mwaka unarudia masomo iliyofaulu ni bora ukatumia mwaka huo kutafuta pesa ya kukupeleka shule mahala kwingine. Sio lazima usome MUHAS,

AMINI NAKWAMBIA UNAWEZA KURUDIA MTIHANI NA UKAFAULU KWA DIV. 1.9 NA BADO HIYO MUHAS UKAIKOSA. Mwishowe ukajinyonga bure.
 
1. Kanuni za kurudia mtihani unazijua kwa kipindi hiki? (binafsi sizijui) ila kuna miaka fulani ulikuwa ukirudia mtihani wanafuta kikao cha nyuma. i.e matokeo yanayosimama ni ya kikao ulichorudia. Fuatilia hilo ulijue usije ukajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe...
Ndio nazifuatilia ili nizijue vzur mkuu
 
1. Kanuni za kurudia mtihani unazijua kwa kipindi hiki? (binafsi sizijui) ila kuna miaka fulani ulikuwa ukirudia mtihani wanafuta kikao cha nyuma. i.e matokeo yanayosimama ni ya kikao ulichorudia. Fuatilia hilo ulijue usije ukajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe.

2. Kanuni za udahili zikoje kwa watu wenye kikao zaidi kimoja, nakumbuka kwenye ualimu wa GRADE A zamani, ilikuwa ili kujiunga na mafunzo ilitakiwa angalau uwe na div. 4.26 kwa kikao kimoja kwa aliye na kikao zaidi ya kimoja uwe na credit pass 4(yaani C nne.) sasa unatakiwa kujua kwa undani kanuni zikoje, hasa ukirudia mtihani halafu Somo Y ukapata A, somo X ukapata E na somo Z ukapata D. Siku hizi NECTA sidhani kama wanaunganisha cheti.

Itaendelea.......
No 1 nadhani ni kipindi hiki kama sikosei maana mwaka2013 hapakuwa na mambo ya kufuta vikao vya nyuma kwaiyo aangalie sana
 
Bila shaka una muda wa kutosha sana kama unawaza kurudia mtihani! Kwa ushauri wangu songa mbele kwa kwenda chuo chochote kama inaruhusu kusoma hiyo MD au chukua Diploma in clinical medicine Degree ya medicine toka MUHAS utafuata ukiwa na kazi (CO) na pesa (mshahara) ila siyo kurudia mtihani ambapo unaweza rudia na ukapata four ya 18 with flat S
Well said bros
 
Husika na kichwa hapo juu.

Ndugu zangu wapendwa naomben ushauri wenu
Kwan mwaka huu nilihitimu kidato cha sita kwa ufaulu wa division two ya 12 nikiwa na D flat kweny combination yangu ya PCB

Kwa ndoto zangu ninataman kuwa Doctor (MD) lakin kulingana na ufaulu wangu naona itakuwa vigumu kupata chuo cha serikali kama vile Muhas hivyo nahisi nitakuwa na Uwezekano wa kupata vyuo binafsi ambavyo kiuhalisia familia yangu haipo vizur kiuchumi kunipeleka huko
Hivyo nimefikiria ku-resit mtihan mwakan ILI nipate ufaulu mzuri utakao nipelekea kuchukuliwa katika vyuo vya serikali

Baadhi ya watu waliniambia nisome Diploma ya Clinical Medicine lakin huko nako naona gharama zitakuwa kubwa ambazo sitaweza kuzimudu tena isitoshe itanichukua muda mrefu kwa Mimi kuifikia ndoto yangu

naomben ushauri wenu ndugu Jinsi ya kufanya ili kufaulu kama Private Candidate especially kwa comb ya PCB ikiwezekana hata kituo kizur cha kusomea kwa bwen
Yani ungenikuta zile enzi zangu za kupiga bapa ningeshakupa tusi moko, anyway mbona umefaulu vizuri tu nia yako ni kusoma MD uitwe dokta kamaa niivo mbona unaweza soma hata economics na ukaitwa dokta tu anyways in any action lazima kuwe na plan b endapo ya kwanza imefeli ingawa kurudia mtihani wakati umefaulu tu vizuri ni kupoteza mda tena sana ingekuwa umefel hapo sawa alaf kuna mkopo sikuizi wala haiangalii private ama serikali unaweza pata ingawa ushachelewa dilisha lishafungwa nadhani
 
Kijana sikishauri kufanya hivyo.Tafuta alternative songa mbele hakuna anayejua kesho yetu huko mbele.Ipo siku pengine utashukuru kwa ulichosomea kwa plan B.
Re sit ya PCB? Hell no man! dont you dare
 
Bila shaka una muda wa kutosha sana kama unawaza kurudia mtihani! Kwa ushauri wangu songa mbele kwa kwenda chuo chochote kama inaruhusu kusoma hiyo MD au chukua Diploma in clinical medicine Degree ya medicine toka MUHAS utafuata ukiwa na kazi (CO) na pesa (mshahara) ila siyo kurudia mtihani ambapo unaweza rudia na ukapata four ya 18 with flat S
point
 
Hao madaktari wenyewe wanalalamika hela wanazopata ni ndogo haziendani na muda waliosoma

Halafu sikia dogo mwisho wa siku Ni pesa Kama huna pesa hakuna ataekujali na udaktari wako

Kamatia kozi za biashara fasta Miaka 3 una bachelor yako unapiga mitikasi ya pesa mjini

We endelea kujichelewesha kwa kisingizio Cha udaktari wa muhas .

Shauri zako
 
Husika na kichwa hapo juu.

Ndugu zangu wapendwa naomben ushauri wenu
Kwan mwaka huu nilihitimu kidato cha sita kwa ufaulu wa division two ya 12 nikiwa na D flat kweny combination yangu ya PCB

Kwa ndoto zangu ninataman kuwa Doctor (MD) lakin kulingana na ufaulu wangu naona itakuwa vigumu kupata chuo cha serikali kama vile Muhas hivyo nahisi nitakuwa na Uwezekano wa kupata vyuo binafsi ambavyo kiuhalisia familia yangu haipo vizur kiuchumi kunipeleka huko
Hivyo nimefikiria ku-resit mtihan mwakan ILI nipate ufaulu mzuri utakao nipelekea kuchukuliwa katika vyuo vya serikali

Baadhi ya watu waliniambia nisome Diploma ya Clinical Medicine lakin huko nako naona gharama zitakuwa kubwa ambazo sitaweza kuzimudu tena isitoshe itanichukua muda mrefu kwa Mimi kuifikia ndoto yangu

naomben ushauri wenu ndugu Jinsi ya kufanya ili kufaulu kama Private Candidate especially kwa comb ya PCB ikiwezekana hata kituo kizur cha kusomea kwa bwen
Kwa hiyo mwaka huu huja apply kokote?

Hivi course za afya si wanatoa loan kwa 100% ama siku hizi ni tofauti?

Umefatilia tofauti ya tuition fee ya govt na private health colleges ukaona hutamudu?

Na asilimia kwa mkopo si wanatoa kwenye tuition fee tu na rates zingine km meals & accomodation, stationary allowance etc ni flat kwa wote?

Sikushauri kurudia mtihani, kama unaona huwezi kusoma course za afya just for any reason jiongeze hama fani, huu muda unaotaka kuupoteza utajutia mdogo wangu.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom