MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,167
Ungeweza kusave ukiwa huna basi hata ukiwa na familia utaweza tu; Hakuna kisichowezekana.Kama ungekuwa na familia ya watoto wawili tu ungewesa kusave ? Mimi yamenishinda
Ungeweza kusave ukiwa huna basi hata ukiwa na familia utaweza tu; Hakuna kisichowezekana.Kama ungekuwa na familia ya watoto wawili tu ungewesa kusave ? Mimi yamenishinda
Daaaahhh, pesa imekuwa tamu sana aisee kiasi kwamba hadi navunja kanuni niliyojiwekea.
Kipindi hiki nimefanikiwa kusave laki 1 na nusu, chini ya lengo la kusave angalau laki 3.
Nimegundua nikiendekeza ujinga siwezi kusogea hatua yoyote.
Kwa sasa nimepanga kusave laki 5 ili niweze kufidia magap ya nyuma. Endapo nikifuata mchanganuo huu lazima niweze kusave laki 5.
Mchanganuo:
Kwa siku natumia wastani wa Tsh 7,500/=
Kwa mwezi itakuwa 7,500 X 30 = 225,000/=.
Hii 7,500/= kwa siku afe kipa, afe beki tatu lazima niimaintain isizidi. Nimejaribu kuset nimeona kwa siku inakuwa chini ya 7,500/=, Hiyo inayobaki inakuwa akiba ya dharura ambapo naweza kutumia zaidi ya 7,500/=.
Kwa mwezi natenga 175,000/= kwa matumizi mengine kama vocha( 8,000/= kwa mwezi), Gesi, Unga wa kula na chochote kitakachotokea nje ya bajeti ya siku ambayo ni 7,500/=
NB: Msimamo, maamuzi sahihi, utekelezaji ndio mpango mzima.
Sijamshirikisha ila kiasi ninachomuachia kwa matumizi yake hasa ya shule anakitumia vizuri hadi mambo mengine madogo madogo anajihudumia mwenyewe kutokana na akiba anayoweka kwenye hiyo helaMawazo mazuri...tukiwa na wa tz kama wewe tutasonga mbele kwakuwa naimani hata dogo unayeushi Nate anajifunza Vinci zaidi ya kusave ...kama unamshirikisha itamsaidia kujua iyo mambo
Hapana mkuu.Una matumizi mabaya sana,yaani unaishi ghetto halafu umetumia zaidi ya laki 3 na 70 kwa mwezi?
Ahsante mkuuhongera kwa mpango wako wa kujitunzia akiba na hasa unapokuwa na lengo la uwekezaji.
mfano hata sisi tuliokopa mkopo tunaolipa kwa miaka 4 labda na hiyo pesa ukaitumia katika jambo linaloongeza kipato nje ya mshahara ni vizuri au ukadunduliza kama mshkaji.
ila inahitaji kuwa na NIDHAMU
Matumizi mengine hamishia huku.Maisha yenyewe mafupi ubahiri tu mwishowe upate ulcers bure sababu ya kushinda njaa
Mada maalum ya walevi na wanywa pombe
Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno. Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa . Kushindwa...www.jamiiforums.com
Mada maalumu ya walevi na wanywa pombe..
Atakuwa ana cheo huko CHAPUTAHahaha hapo hata papuchi. .hatumii
Nilikuwa nasave bank, kwenye statement yale makato yakawa yananiuma. Nikatengeneza kisanduku cha chuma kisichofunguliwa kwa urahisi kwa ajili ya saving, then nikatoa kahela kote nikahamishia kwenye kisanduku.
Kuna usiku mmoja ulikuwa mgumu! Nilikipasua pasua hicho kidude lakini nilichemka.
Sasa hivi nimeamua kumiliki nyundo kubwa na msumeno nisijekufa siku moja wakati hela ya tiba ipo.
Nafikiri ulibeti bela ikaenda ukaishiwa thats why ulitaka ubomoeNilikuwa nasave bank, kwenye statement yale makato yakawa yananiuma. Nikatengeneza kisanduku cha chuma kisichofunguliwa kwa urahisi kwa ajili ya saving, then nikatoa kahela kote nikahamishia kwenye kisanduku.
Kuna usiku mmoja ulikuwa mgumu! Nilikipasua pasua hicho kidude lakini nilichemka.
Sasa hivi nimeamua kumiliki nyundo kubwa na msumeno nisijekufa siku moja wakati hela ya tiba ipo.
Inaitwaje hiyo?Hongera, una save kwenye akauntu ya mshahara au nyingine? Kuna akauntu flani hivi sio fixed ila ni nzuri nakushauri ufungue hiyo
Kwamba ku save ni upuuzi au nimeelewa tofauti bromkuu watu tumetofautiana, kwangu Mimi haya ni maisha ya kujitesa na kimaskini, tafta pesa kwa akili then pesa itakuelekeza jinsi ya kuitumia.....Huu upuuzi mm siwezi kuufanya natafta pesa na naitumia ipasavyo, na mpka nshafanya mambo mengi ya kimaendeleo lakini huwezi kuniambia huu upuuzi
Safi
We jamaa huendi kanisani kama mkristo maana kuna sadaka mbili mbili kila misaAtakuwa ana cheo huko CHAPUTA