lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,147
- 33,302
Mapenzi ni imani ya ajabu kidogo. Mambo ya ajabu kwangu katika ulimwengu wa Mapenzi Ni hivi.
Wanawake wote ambao Mimi niliwapenda kwa dhati ya Moyo wangu na kutamani kuwa nao kwa mapenzi na uaminifu mkubwa sikuweza kuwapata, licha ya wengi hata kunisifu kwa upole na utulivu wangu. Lakini ajabu ninapopeleka Ombi la mahusiano hutokea sintofahamu nyingi na mwisho kutokubaliana. Hata Kama mwanzo tulikua tunaenda vizuri.
Ajabu wale wanadada ambao sikuvutiwa nao haijalishi Wana haiba gani, walitokea kunipenda Sana na hata kwa kuonesha alama zote za kunipenda, shida inakuja Mimi nakuwa sijapenda.
Hali hii ilinitesa Sana kwani baadhi yao kila wakinionesha green light Mimi nilikuwa sioneshi hisia zozote.
Mwisho wa siku niliambulia maneno ya kashfa mfano:
-Unaemtaka hajazaliwa bado
-Subiri malaika utawapata
-Mchagua Nazi Sana mwisho huchagua koroma. N.k
Kashfa hizi nilipewa na hawa ambao sikuwatilia maanani.
Elimu nilivyopata na nilichojifunza.
Wise men mmoja aliniambia, ukitaka kufurahia mapenzi na usiishi kwa presha chukua, oa, au anzisha mahusiano na mtu anaekupenda yeye zaidi kuliko unaempenda wewe zaidi. Kwa sababu unaempenda wewe bila yeye kukupenda itakua unalazimisha penzi hivyo kupelekea kukubuluza, kukutesa na kukudharau.
Lakini anaekupenda atakuwa anakupenda kwa dhati na atajitahidi kutokukuudhi ila unaempenda Kama hakupendi ndo mwanzo wa kukusaliti Mara kwa mara.
Ni heri uwe na mpenzi asie na mvuto lakini anakupenda utaenjoy,
Ni mbaya uwe na mpenzi mwenye mvuto lakini hakupendi utateseka.
Wanawake wote ambao Mimi niliwapenda kwa dhati ya Moyo wangu na kutamani kuwa nao kwa mapenzi na uaminifu mkubwa sikuweza kuwapata, licha ya wengi hata kunisifu kwa upole na utulivu wangu. Lakini ajabu ninapopeleka Ombi la mahusiano hutokea sintofahamu nyingi na mwisho kutokubaliana. Hata Kama mwanzo tulikua tunaenda vizuri.
Ajabu wale wanadada ambao sikuvutiwa nao haijalishi Wana haiba gani, walitokea kunipenda Sana na hata kwa kuonesha alama zote za kunipenda, shida inakuja Mimi nakuwa sijapenda.
Hali hii ilinitesa Sana kwani baadhi yao kila wakinionesha green light Mimi nilikuwa sioneshi hisia zozote.
Mwisho wa siku niliambulia maneno ya kashfa mfano:
-Unaemtaka hajazaliwa bado
-Subiri malaika utawapata
-Mchagua Nazi Sana mwisho huchagua koroma. N.k
Kashfa hizi nilipewa na hawa ambao sikuwatilia maanani.
Elimu nilivyopata na nilichojifunza.
Wise men mmoja aliniambia, ukitaka kufurahia mapenzi na usiishi kwa presha chukua, oa, au anzisha mahusiano na mtu anaekupenda yeye zaidi kuliko unaempenda wewe zaidi. Kwa sababu unaempenda wewe bila yeye kukupenda itakua unalazimisha penzi hivyo kupelekea kukubuluza, kukutesa na kukudharau.
Lakini anaekupenda atakuwa anakupenda kwa dhati na atajitahidi kutokukuudhi ila unaempenda Kama hakupendi ndo mwanzo wa kukusaliti Mara kwa mara.
Ni heri uwe na mpenzi asie na mvuto lakini anakupenda utaenjoy,
Ni mbaya uwe na mpenzi mwenye mvuto lakini hakupendi utateseka.