MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,684
- 6,487
kama umeota kijani huenda wakawa ni CCM hao wanakutaka uunge juhudi
Nakubaliana na wewe kabisa ,kama aliota kweli ,basi hao ni alliens,wanataka kuwasiliana nae.tazama picha.Kuna dalili kubwa Alien wanataka kuwasiliana na wewe......Nicheki PM tukae chini tuyazungumze
Humu wamejaa mapoyoyo haswa hao walio comment juu,huta gain chochote
Kuna dalili kubwa Alien wanataka kuwasiliana na wewe......Nicheki PM tukae chini tuyazungumze
Humu wamejaa mapoyoyo haswa hao walio comment juu,huta gain chochote
Kuna uwezekano aliwaota ALLIENS kweli,kama usemavyo,watu wanakomenti tu ,bila kuelewa.Kuna dalili kubwa Alien wanataka kuwasiliana na wewe......Nicheki PM tukae chini tuyazungumze
Humu wamejaa mapoyoyo haswa hao walio comment juu,huta gain chochote
Lakini mbona ni ndoto nzuri mkuu?Vitu vyote huenda kwa imani. Imani yangu inanisaidia kupigana na hizo ndoto. Hata nikiziota naamuka nasoma Rosali usingizi unakuja.
Mhu saa nyingine zinatisha. Hasa za majoka.Lakini mbona ni ndoto nzuri mkuu?
Hiyo picha niliamka nikachora kwa haraka zaidi nina tabia ya kujielewa nikiwa ndotoni na ninaamini maisha ya ndoto ni halisi nilipoamka sikuzubaa maana ningesaau nikamark mchoro huo haraka mno.Sasa hii karatasi ulikujakujaje nayo kutoka ndotoni?
Huko ndotoni hiko kimtu chako kilikufungulia page kadhaa mwisho kikastop ili ukariri,,,
Nawaza kwa sauti hapa vile ulinyofoa ukurasa mmoja kutoka ndotoni hadi jamiiforums halisi
Hao alliens wana lengo gani na binadamuKuna uwezekano aliwaota ALLIENS kweli,kama usemavyo,watu wanakomenti tu ,bila kuelewa.
Kama wwe ni mtu wa kutafuta dini ya kweli huenda hapo ulikua unaoneshwa ipi ya kweli..Mnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...
nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...
kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616
Sent using Jamii Forums mobile app
wanakuja duniani kufanya utafiti kama sisi tufanyavyo kwenye sayari nyingine na anga za mbali,wamekua wakifanya hivyo kwa maelfu ya miaka.,kumbuka warusi walienda anga za mbali na wamarekani walienda kwenye mweziHao alliens wana lengo gani na binadamu
wanakuja duniani kufanya utafiti kama sisi tufanyavyo kwenye sayari nyingine na anga za mbali,wamekua wakifanya hivyo kwa maelfu ya miaka.,kumbuka warusi walienda anga za mbali na wamarekani walienda kwenye mweziHao alliens wana lengo gani na binadamu
Duh!, Pole Mkuu maana hadi unaandika naona ulikuwa bado unaota.Mnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...
nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...
kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mwehuDuh!, Pole Mkuu maana hadi unaandika naona ulikuwa bado unaota.
Mke wake yupi???mke wangu akawa ananiambia Tanzania leo inashinda nikasema wewe unajua nini".View attachment 1053632