Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,770
Habari ndugu zangu Job seekers. Nakaribia kupata Uchizi kwa kukosa Ajira. Nimeomba taasisi zote zilizotaka watumishi wapya : TARURA, TANAPA, PCI, Brighter Monday, American Embassy, TANESCO hadi leo sijajibiwa. Tafadhali naomba mwenye kuitwa kwenye usaili anijuze kwa kuwa sifa ninazo na barua niliandika vizuri. Bora Utumishi nafasi hata kama moja waombaji wote huitwa wakajinoe au kushindwa mbele ya Safari.