Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,591
- 4,638
Maisha yanaenda kasi sana mara paah...huu mwaka ndiyo unaishia.
Turudi kwenye mada wakuu,
unajua hawa maboss wa kibongo ni vichomi sana! Unamuomba akuongeze mshahara kutokana na kazi unayofanya, kazi inaonekana si rahisi na hujawahi kuharibu kazi hata siku moja.
Anakujibu vizuri tu "ntakuongezea but raise is a raise."
Unasubiri kuona kama ataongeza... miezi inakata holaa! daah!!! Unaendelea kumfwata mara kadhaa na kumwandikia barua lakini majibu ni yaleyale na hakuna nyongeza hata senti!
Mkataba umeisha anataka nikasign tena really! huyu boss hakika ni kichaa.
Turudi kwenye mada wakuu,
unajua hawa maboss wa kibongo ni vichomi sana! Unamuomba akuongeze mshahara kutokana na kazi unayofanya, kazi inaonekana si rahisi na hujawahi kuharibu kazi hata siku moja.
Anakujibu vizuri tu "ntakuongezea but raise is a raise."
Unasubiri kuona kama ataongeza... miezi inakata holaa! daah!!! Unaendelea kumfwata mara kadhaa na kumwandikia barua lakini majibu ni yaleyale na hakuna nyongeza hata senti!
Mkataba umeisha anataka nikasign tena really! huyu boss hakika ni kichaa.