Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,591
- 4,636
- Thread starter
- #81
tunawashibisha maboss kwa nguvu zetu bila kuelewa... ndiyo maana wanakuwa jeuri sababu hatujielewi.Ndo mambo ya maofisini hayo, kazi kama zote malipo sasa
tunawashibisha maboss kwa nguvu zetu bila kuelewa... ndiyo maana wanakuwa jeuri sababu hatujielewi.Ndo mambo ya maofisini hayo, kazi kama zote malipo sasa
😆😆😆 kukesha sio poaSasa wewe hapo kwenye mkataba mpya ndio pana nyongeza uliyokuwa unaidai. Wewe umesain mkataba,halafu katikati unaibuka unadai nyongeza,hukuona wakati unasain mkataba mwanzo?. Kwenye mkataba huu sasa uwe makini ile nyongeza uliyokuwa unaidai kama imewekwa. Usisain bila kuusoma kwa makini. Usiangalia tu kwenye hela,hasa nyongeza ya mshahara. Kagua vizuri usije ukawa umeongezewa mshahara na kazi wamekuandikia ni kukesha
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Halafu mabosi huwa hayajalitunawashibisha maboss kwa nguvu zetu bila kuelewa... ndiyo maana wanakuwa jeuri sababu hatujielewi.
km hana pesa ni yeye na maisha yake binafsi, hilo halinihusu
umeongea pumba.Vijana wa kitanzania bwana. Unajiona wa maana hujui kuwa umaana huo huyo boss ndiyo amekufanya uwe hivyo. Serikalini tunakaa miaka mitatu hadi mitano bila nyongeza hata shilingi na bado watu hawaachi kazi. Hujui boss wako anapitia magumu yapi kukupa tu huo mshahara. Sekta binafsi tunapitia wakati mgumu sana kutoa mishahara. Wakati mwingine unatoa hela mfukoni kuwaonea huruma wafanyakazi lakini wao ni mabogas kama hawa.
Hata mwaka haujaisha umeomba mara tatu uongezewe mshahara. Kwanini humu negotiate kabla ya kuanza vizuri.
pole dogo Mkuu, baada ya Uchaguzi zilifuata sms toka TRA za kukumbushwa Kodi, Malimbikizo, Kodi za majengo nk, watu tumelia kila kona na nyuzi nyingi zipo mumu humu kachungulie na kuchangia, walipa kodi bora tufunge halafu tuone hiyo mishahara mtaipataje, yaani kuandika tu barua ya muflis /Bankruptumejuaje km kaongezewa malimbikizo ya kodi? unazingua Ukwaju
We sasa hivi makampuni yanajikomgoja yeye yupo bize kuomba aongezewe mshahara.ACHA UONE MTAANI PALIVYO PAZURI"Acha kazi uone jinsi ilivyo kazi kupata kazi..."
Vuta subra mkuu
Hahaha Yupo kwenye meditation mfululizo soon atarudimpange arudi.
Kwenye vipofu mwenye chongo hutawalaKipato huleta majivuno