Nilimuomba boss wangu aniongezee mshahara na hakufanya hivyo japo nilimfuata mara 3 ndani ya huu mwaka 2020

Huenda maombi yako yamesikilizwa kwenye mkataba mpya! Nenda kausome,ukiridhika saini,usiporidhika acha.maneno mengi na blah blah hayana maana.unaonekana hujiamini kwenye maamuzi.kitu kingine ..kama utaamua kuachana na mkataba mpya na haina plan B, hali tete sana kitaa wakati huu kulinganisha na miaka michache iliyopita.labda kidogo uwe umetoka familia yenye ukwasi.na upo single.kama una watu wapo nyuma ya huo mshahara kiutegemezi.uheshimu sana,wakati unatafuta plan B ya kutimiza ndoto zako.
 
Huenda maombi yako yamesikilizwa kwenye mkataba mpya! Nenda kausome,ukiridhika saini,usiporidhika acha.maneno mengi na blah blah hayana maana.unaonekana hujiamini kwenye maamuzi.kitu kingine ..kama utaamua kuachana na mkataba mpya na haina plan B, hali tete sana kitaa wakati huu kulinganisha na miaka michache iliyopita.labda kidogo uwe umetoka familia yenye ukwasi.na upo single.kama una watu wapo nyuma ya huo mshahara kiutegemezi.uheshimu sana,wakati unatafuta plan B ya kutimiza ndoto zako.
ushauri wako ni mzuri ila hauna maana, unaonekana hujielewi na hujitambui.
 
Namshauri asifanye maamuzi kwa hisia.

Aangalie kama ana malengo na mpango wa kueleweka kufikia hayo malengo baada ya kuacha kazi.

Nje ya hapo anakurupuka.
naamini ktk matumizi ya akili mkuu, wala usijali ktk maamuzi yangu.
km ipo, ipo tu.
 
Maisha yanaenda kasi sana mara paah...huu mwaka ndiyo unaishia.

Turudi kwenye mada wakuu,
unajua hawa maboss wa kibongo ni vichomi sana! Unamuomba akuongeze mshahara kutokana na kazi unayofanya, kazi inaonekana si rahisi na hujawahi kuharibu kazi hata siku moja.

Anakujibu vizuri tu "ntakuongezea but raise is a raise."

Unasubiri kuona kama ataongeza... miezi inakata holaa! daah!!! Unaendelea kumfwata mara kadhaa na kumwandikia barua lakini majibu ni yaleyale na hakuna nyongeza hata senti!

Mkataba umeisha anataka nikasign tena really! huyu boss hakika ni kichaa.
Don't quit it before you get the new one my friend. Life is real sucking in the street.
 
upo sahihi man, maana baada ya kuondoka boss wa kwanza akaja huyu mduanzi, mnoko tena mnafiki.

Yes mara nyingi maboss wanaochukua fedha nyingi anaona kukuongezea wewe kama ni upotevu wa fedha au anaona kama utaongeza matumizi,enzi zetu tunafanya kazi boss wetu alikuwa anakunja kibindoni 6m mimi alamba 600k nikamwambia aniongezee alikuwa anabana balaa nikaona isiwe tabu,nikaachana nao ,kwasasa nachoma mkaa minjingu.
 
sijawahi mlalamikia boss kuhusu mshahara, ni wajibu na haki kuomba kuongezewa mshahara. na huwa anakubali lakini hatekelezi!
awamu hii ya 5 Serikalini, hakuna nyongeza iliyotolewa, ila Viwanda na maofisi mengi yamefungwa
ridhika na upatacho Boss wako kaongezewa malimbikizo ya Kodi ulizozikwepesha na mifuko ya kijamii.
Km kazi usichezee chezea mshahara
 
Kwa miaka hii kuongezewa mshahara ni kama kutaka kuwaambia kampuni wakufanyie replacement

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ukiogopa hivyo hutakuja kuongezwa huo mshahara kamwe, nimekaa sehemu miaka 5 mpaka sasa na mshahara ambao nilianza nao ni ule ule lazima nimwambie Boss anifikirie kwani majukumu yameongezeka ni haki yangu aniongeze,
Binafsi nilimwambia MD na aliongeza maana nishafanya miaka 5 sasa

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na aina gani ya kazi pia.... Je, tokea umeingia kwenye taasisi umefanya jambo lipi Hadi boss wako akiliona anajua wewe umechangia kukuza au kuongeza kipato kwenye taasisi?

Sina mengi ila tafakari nafasi yako, umefanya nini, na unahisi ukijaribu kuweka tishio la kuondoka atakujibu nini..... Ukiona anakuambia sawa waweza kwenda jua huna msaada na hujawahi fanya la maana kwenye taasisi.....

Kabla ya kuondoka fikirisha ubongo kama unafamilia ya watoto na lundo la wategemezi

Ni hayo tu ....

Mr. Ben
 
Yes mara nyingi maboss wanaochukua fedha nyingi anaona kukuongezea wewe kama ni upotevu wa fedha au anaona kama utaongeza matumizi,enzi zetu tunafanya kazi boss wetu alikuwa anakunja kibindoni 6m mimi alamba 600k nikamwambia aniongezee alikuwa anabana balaa nikaona isiwe tabu,nikaachana nao ,kwasasa nachoma mkaa minjingu.
Mkuu bado hujaacha ishu za mkaa?
 
Sasa wewe hapo kwenye mkataba mpya ndio pana nyongeza uliyokuwa unaidai. Wewe umesain mkataba,halafu katikati unaibuka unadai nyongeza,hukuona wakati unasain mkataba mwanzo?. Kwenye mkataba huu sasa uwe makini ile nyongeza uliyokuwa unaidai kama imewekwa. Usisain bila kuusoma kwa makini. Usiangalia tu kwenye hela,hasa nyongeza ya mshahara. Kagua vizuri usije ukawa umeongezewa mshahara na kazi wamekuandikia ni kukesha

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom