Nilimuamkia mngoni nikakoma .

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
7,587
4,418
Katika pitapita zangu mitaa ya Mpitimbi nilikutana na jamaa yangu Ngonyani nami kwa heshima yangu ya kinyamwezi nikamsalimia shikamoo mjomba,akanijibu "Malihabi mjombi ,hujambi?"Akimaanisha marahaba mjomba hujambo.
 
heee tena ukamjibuje??????
Katika pitapita zangu mitaa ya Mpitimbi nilikutana na jamaa yangu Ngonyani nami kwa heshima yangu ya kinyamwezi nikamsalimia shikamoo mjomba,akaninibu "Malihabi mjombi ,hujambi?"Akimaanisha marahaba mjomba hujambo.
 
mtani sooo ulifika mpaka pande za kumpitimbi! hongera sana mtani ukija safari nyingine nitafute nipo kijiji kinachofuta bada ya mpitimbi. utakuta tumekutayarishia pombe inaitwa MYAKAYA brewed using mayau (mihogo). msosi utakuta ugali na namgujulu(mboga ya manyonyoli) utauliza huko huko manyonyoli ndo nini. matunda mtani yapo ya kumwaga kuna masuku, madonga, machungwa mapapai mapwete mpaka hapo mtani nadhani utaridhika na kuomba upewe mdala(mchumba) wa kugega(kuoa) hahahaaaa
 
Katika pitapita zangu mitaa ya Mpitimbi nilikutana na jamaa yangu Ngonyani nami kwa heshima yangu ya kinyamwezi nikamsalimia shikamoo mjomba,akaninibu "Malihabi mjombi ,hujambi?"Akimaanisha marahaba mjomba hujambo.
Je alikuelekeza anakoishi? Bombi mbili
 
Katika pitapita zangu mitaa ya Mpitimbi nilikutana na jamaa yangu Ngonyani nami kwa heshima yangu ya kinyamwezi nikamsalimia shikamoo mjomba,akaninibu "Malihabi mjombi ,hujambi?"Akimaanisha marahaba mjomba hujambo.

kaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli
 
mtani sooo ulifika mpaka pande za kumpitimbi! hongera sana mtani ukija safari nyingine nitafute nipo kijiji kinachofuta bada ya mpitimbi. utakuta tumekutayarishia pombe inaitwa MYAKAYA brewed using mayau (mihogo). msosi utakuta ugali na namgujulu(mboga ya manyonyoli) utauliza huko huko manyonyoli ndo nini. matunda mtani yapo ya kumwaga kuna masuku, madonga, machungwa mapapai mapwete mpaka hapo mtani nadhani utaridhika na kuomba upewe mdala(mchumba) wa kugega(kuoa) hahahaaaa

Nimekupata mtani nitajitahidi kuja huko nipate raha duniani.Pokea na hii basi hapo chini.

The Following User Says Thank You to Chimunguru For This Useful Post:

Paka mweusi (Today)​

 
Katika pitapita zangu mitaa ya Mpitimbi nilikutana na jamaa yangu Ngonyani nami kwa heshima yangu ya kinyamwezi nikamsalimia shikamoo mjomba,akanijibu "Malihabi mjombi ,hujambi?"Akimaanisha marahaba mjomba hujambo.

Hii imenikumbusha ugomvi mkubwa uliotokea kati ya dreva moja mwenyeji wa mikoa ya bara na mngoni moja. Ni kwamba mngoni alitoka hospitalini yeye mkewe na mtoto mdogo njialikapita lori likiwa na dreva na utingo wake. Kwa kumhurumia mama na mtoto utingo alimpisha sehemu ya mbele yeye akapanda nyuma pamoja na jamaa wa kingoni. Baada ya kuwafikisha sehemu walikuwa wakienda baada ya kuteremka chini yule mngoni kwa nia nzuri kabisa alikwenda kumshukuru dreva kwa msaada aliowapa .Tatizo lilikuwa kwenye matamshi yake ambayo yalitafsiriwa vibaya na dreva. Alisema hivi, nanukuu"bwana dreva asanti sana kwa kuntia nyuma ya gari na mki wangu na mtoto ukawatii mbele ya gari . Asanti sana bwana
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom