Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Jamani huyu binti ukimwangalia ni tofauti kabisa na nilivyodhani,
Nilimtongoza kakubali lakini nilipomuomba game alikataa na kusema hataki mtu wa kuchezea usichana wake,
Baada ya kusumbuana nae miezi kadhaa jana kama zari alikuja gheto kitu nilichokiona ni kama hiki,
Hapa nipo Nawaza ni usichana upi aliokuwa anasemea hataki uchezewe, kuna mwenye anafahamu anijuze?
NB:
Picha sio real ila hapo kifuani ina mfanano na kiumbe nilichokutana nacho jana.
Cc Zero IQ
Nilimtongoza kakubali lakini nilipomuomba game alikataa na kusema hataki mtu wa kuchezea usichana wake,
Baada ya kusumbuana nae miezi kadhaa jana kama zari alikuja gheto kitu nilichokiona ni kama hiki,
Hapa nipo Nawaza ni usichana upi aliokuwa anasemea hataki uchezewe, kuna mwenye anafahamu anijuze?
NB:
Picha sio real ila hapo kifuani ina mfanano na kiumbe nilichokutana nacho jana.
Cc Zero IQ