Nilimpenda sana JK bila sababu, Sasa Namchukia sana bila sababu!

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Mwaka 2005 nilimshabikia sana JK hadi nikaona nchi mpya imezaliwa ila sikuwa na sababu za msingi maana alikuwa hana record yeyote ya kufanya mambo makubwa kwa nchi. Ilikuwa sio mimi tu maana wengi hawakuwa na sababu za kumpenda sana 2005. Mwaka 2010 nilimchukia sana hadi sasa hata picha yake nikiiona inanikera sana. Nikiwasha TV nikimkuta anazungumza nabadilisha haraka. Hanivutii tena hata kidogo. Sio mimi tu watu wengi sana wamchukia JK ila ukiwauliza hawana sababu za msingi.

Swali ni je, kuna ukweli kuwa umaarufu wake ulikuwa cosmetic na nguvu yake inapungua? Siamini mambo hayo ila inawezekana kuna ukweli. Enjoy your weekend guys!
 
Mwaka 2005 nilimshabikia sana JK hadi nikaona nchi mpya imezaliwa ila sikuwa na sababu za msingi maana alikuwa hana record yeyote ya kufanya mambo makubwa kwa nchi. Ilikuwa sio mimi tu maana wengi hawakuwa na sababu za kumpenda sana 2005. Mwaka 2010 nilimchukia sana hadi sasa hata picha yake nikiiona inanikera sana. Nikiwasha TV nikimkuta anazungumza nabadilisha haraka. Hanivutii tena hata kidogo. Sio mimi tu watu wengi sana wamchukia JK ila ukiwauliza hawana sababu za msingi.

Swali ni je, kuna ukweli kuwa umaarufu wake ulikuwa cosmetic na nguvu yake inapungua? Siamini mambo hayo ila inawezekana kuna ukweli. Enjoy your weekend guys!

Usiwe unabadilisha station bali unapaswa kumsikiliza ili upate issue ya ku-argue. Vinginevyo utakuwa unakoswa mengi- mfano ule mpasho alioutoa katika daraja la Kigamboni:WENYE ROHO MBAYA MTAKUFA KWA VIJIBA VYA ROHO...
 
Mtajiju wenyewe! Mnadhani sifa kutangaza kumchukia kiumbe wa Mwenyezi MUNGU. Tafuteni big g mjitundike juu.
 
Aisee, unasikitisha sana. Unampenda mtu halafu huelewi kwa nini unampendi!!!! Hapo lazima Bagamoyo ilifanya kazi.
 
Ni hivi rafiki; Wewe na JK kwa pamoja ni kielelezo cha uduni/kasoro za kifikra na ki-hulka tulizonazo. Kuna tabia ambazo Watanzania walio wengi tunayo. Huwa hatupendi kuchunguza mambo, huwa tunatafuta/kufuata vitu kwa mkumbo, na pia huwa tuna tabia ya kutopenda ukweli. Kifupi tumekuwa watu wepesei wepesi tu.

Kama JK mwenyewe (pamoja na madhaifu makubwa aliyonayo) alidiriki kuutaka urais, na wewe kwa wepesi huo huo ukampa kura yako basi ni wazi tunalo tatizo kubwa la msingi la uelewa/fikra na tabia/hulka. Ndio maana M4C/Sangara ni muhimu na ya lazima kama sehemu ya ukombozi wa fikra kisha ikifuatiwa na tabia.
 
Mwaka 2005 nilimshabikia sana JK hadi nikaona nchi mpya imezaliwa ila sikuwa na sababu za msingi maana alikuwa hana record yeyote ya kufanya mambo makubwa kwa nchi. Ilikuwa sio mimi tu maana wengi hawakuwa na sababu za kumpenda sana 2005. Mwaka 2010 nilimchukia sana hadi sasa hata picha yake nikiiona inanikera sana. Nikiwasha TV nikimkuta anazungumza nabadilisha haraka. Hanivutii tena hata kidogo. Sio mimi tu watu wengi sana wamchukia JK ila ukiwauliza hawana sababu za msingi.

Swali ni je, kuna ukweli kuwa umaarufu wake ulikuwa cosmetic na nguvu yake inapungua? Siamini mambo hayo ila inawezekana kuna ukweli. Enjoy your weekend guys!

Unakila dalili ya ugonjwa wa undumila kuwili
 
Hapo penye RED ni kweli au kusingiziana tu mkuu??

Usiwe unabadilisha station bali unapaswa kumsikiliza ili upate issue ya ku-argue. Vinginevyo utakuwa unakoswa mengi- mfano ule mpasho alioutoa katika daraja la Kigamboni:WENYE ROHO MBAYA MTAKUFA KWA VIJIBA VYA ROHO...
 
Mwaka 2005 nilimshabikia sana JK hadi nikaona nchi mpya imezaliwa ila sikuwa na sababu za msingi maana alikuwa hana record yeyote ya kufanya mambo makubwa kwa nchi. Ilikuwa sio mimi tu maana wengi hawakuwa na sababu za kumpenda sana 2005. Mwaka 2010 nilimchukia sana hadi sasa hata picha yake nikiiona inanikera sana. Nikiwasha TV nikimkuta anazungumza nabadilisha haraka. Hanivutii tena hata kidogo. Sio mimi tu watu wengi sana wamchukia JK ila ukiwauliza hawana sababu za msingi.

Swali ni je, kuna ukweli kuwa umaarufu wake ulikuwa cosmetic na nguvu yake inapungua? Siamini mambo hayo ila inawezekana kuna ukweli. Enjoy your weekend guys!

Usihofu, hauko peke yako. Hata vijana wengi wanaoikimbilia chadema hawana sababu na kuna siku wataichukia bila sababu pia...
 
Tatizo kubwa la watanzania huwa hawafuatilii sana mambo ya siasa na hasa wanasiasa mmoja mmoja.Watanzania wengi hawasikilizi taarifa za habari,hawasomi magazeti na hata kufuatilia vikao vya bunge.Watanzania wengi siasa kwao ni jambo la msimu yaani uchaguzi mpaka uchaguzi mwingine.Matokeo yake ni kushindwa kuwapima wanasiasa na kuwa watu wa kufuata mkumbo tu alafu mwisho wa siku huishia kulalamika na kujuta tu.

Watanzania wengi ni wapenzi wa maigizo na filamu mbali mbali kwene TV stations.Watanzania wengi ni wapenzi wa soka ya ulaya.Hata magazeti mengi wanaosoma watanzania ni yale ya udaku na sport.Fanya utafiti kwenye mabaa na mahotel ni watanzanni wangapi hufuatilia matangazo ya bunge yanapokuwa live.

Jiulize ni kwanini mazishi ya kanumba ya yalikuwa na watazamaji wengi kwenye TV au jiulize ni kwanini vipindi kama ze commed show vina wapenzi wengi.Jibu ni kwamba hayo ndio mambo watanzania wengi wanayafuatilia na sio siasa wala wanasiasa wanaowafanya waishi kwa taabu.Matokeo ya hii tabia ni kuchagua viongozi wabovu kwa kufuata mkumbo.
 
Ni kama unvyiopenda chadema bila sababu. Chama chenye kila chembe za kigaidi na kukumbatia ukoloni. Kila kukicha kukosoa tuu bila kutoa solution. Mpende rais wako, siyo hawa wananii wa cameron
 
Hata kama mtamchukia ukweli ni kwamba ni rais wa Jamhuri ya watu wa Tanzania.
 
Paroko hana uzoefu wa uongozi. amezoea kusimama madhabauni. Kuongoza kiroho ni mambo ya kufikirika. Kuongoza mwili mambo ya uhalisia. ni vitu viwili tofauti so akili kichwani. CCM Itabaki juuu CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee whaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. CHADEMA ziiiiiiiiiiiiiiiiiiii uuuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiii
 
Mwaka 2005 nilimshabikia sana JK hadi nikaona nchi mpya imezaliwa ila sikuwa na sababu za msingi maana alikuwa hana record yeyote ya kufanya mambo makubwa kwa nchi. Ilikuwa sio mimi tu maana wengi hawakuwa na sababu za kumpenda sana 2005. Mwaka 2010 nilimchukia sana hadi sasa hata picha yake nikiiona inanikera sana. Nikiwasha TV nikimkuta anazungumza nabadilisha haraka. Hanivutii tena hata kidogo. Sio mimi tu watu wengi sana wamchukia JK ila ukiwauliza hawana sababu za msingi.

Swali ni je, kuna ukweli kuwa umaarufu wake ulikuwa cosmetic na nguvu yake inapungua? Siamini mambo hayo ila inawezekana kuna ukweli. Enjoy your weekend guys!

wewe kama mimi,yaani simpendi hadi wakati mwingine najuta kumpakura yangu mwaka2005
 
Back
Top Bottom