Mwaka 2005 nilimshabikia sana JK hadi nikaona nchi mpya imezaliwa ila sikuwa na sababu za msingi maana alikuwa hana record yeyote ya kufanya mambo makubwa kwa nchi. Ilikuwa sio mimi tu maana wengi hawakuwa na sababu za kumpenda sana 2005. Mwaka 2010 nilimchukia sana hadi sasa hata picha yake nikiiona inanikera sana. Nikiwasha TV nikimkuta anazungumza nabadilisha haraka. Hanivutii tena hata kidogo. Sio mimi tu watu wengi sana wamchukia JK ila ukiwauliza hawana sababu za msingi.
Swali ni je, kuna ukweli kuwa umaarufu wake ulikuwa cosmetic na nguvu yake inapungua? Siamini mambo hayo ila inawezekana kuna ukweli. Enjoy your weekend guys!
Swali ni je, kuna ukweli kuwa umaarufu wake ulikuwa cosmetic na nguvu yake inapungua? Siamini mambo hayo ila inawezekana kuna ukweli. Enjoy your weekend guys!