Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
Wewe ni fala!MkuU hakuna cha kama ni kweli au si kweli kwenye swala la kifo cha mtoto wangu yaani namuuaje mtoto wangu Mzee. Kwa kosa lipi kwann Mimi nisiamini yeye ndo pengne alimla nyama kichawi maana mkumbuke kuna thread humu IPO khs yeye kuwa na elements za ushirikina.
Why mi nisihisi ye ndo alimuua SA anajaribu kutengeneza mazingira ya kutoshitukiwa maana ILIKUWA ghafla Tu akaanza kuzusha na hapo mtoto alishafariki MDA Sana.
Mtoto alipata shida akiwa Naye nimerudi nakuta ana shida tukaenda hospital akalazwa Naye mpk anafariki anaye yeye hospital.
Daaah mwanangu aliniuma Sana ndo first time kulia msiba mi sikuwa na record hiyo kabisa. Halafu jitu Linasema nilimuua daaah.
Toka tumezka hajawahi kanyaga kaburini Kwa Yule mtoto. Na uwenda hata hakumbuki tulizika wapi.