Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
mwaka unaenda vile,ulikuwa wa furaha sana kwangu hapa mmu, comments nyingi za vichekesho zilinifanya niwe na furaha zaidi kwa muda mwingi, thanks to all, lakini kuna wakati wapo tuliotofautina na yaliisha pia,kuna avatar nilizipenda na zingine sikuzifurahia lakini haina neno sana,kuna watu niliwapenda kwa michango yao japo sitapenda kumtaja mtu hapa. ila nasema shukrauni nyote.
kitu kilichonikwaza hapa ni pale nilipoona kuna mdada aliyeonekana kuwa very negative kwangu pamoja na kwangu nilimpenda, nilijaribu kwa kiasi kikubwa kumaintain politeness yangu lakini ilifikia muda nikashindwa na nikamchukia pia, nililazimishwa kumchukia kwa comment zake negative kila mahala kwangu na si topiki.
sitamtaja pia lakini napenda kushauri kuwa tusiwe na chuki dhidi ya mtu na kama humpendi mtu basi ni bora usichangie kwenye thread zake maana hata ukinikoti muda wote unaniponda sitafurahia na nitalazimika kukujibu vibaya pia japo nakuwa nimelazimika sana
kitu kilichonikwaza hapa ni pale nilipoona kuna mdada aliyeonekana kuwa very negative kwangu pamoja na kwangu nilimpenda, nilijaribu kwa kiasi kikubwa kumaintain politeness yangu lakini ilifikia muda nikashindwa na nikamchukia pia, nililazimishwa kumchukia kwa comment zake negative kila mahala kwangu na si topiki.
sitamtaja pia lakini napenda kushauri kuwa tusiwe na chuki dhidi ya mtu na kama humpendi mtu basi ni bora usichangie kwenye thread zake maana hata ukinikoti muda wote unaniponda sitafurahia na nitalazimika kukujibu vibaya pia japo nakuwa nimelazimika sana