Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,822
yaani majanga matupu duniani hapa.
Zaidi tena Mungu anasema Mwanamke asihubiri lakini wamejaa tele wakihubiri
Zaidi tena Mungu anasema Mwanamke asihubiri lakini wamejaa tele wakihubiri
FaizaFoxy ni selebriti wa JF.
Ulisikia au uliona mti usio na matunda ukapopolewa?
Heri nichukiwe kwa ukweli wangu kuliko kupendwa kwa uongo wangu.
baby nakuona unasemaje?
mbona na wewe unanishangaa mimi wakati unijui kwa kitendo nilichokifanya cha kumchukia mtu nisiyemjua????????????????ngoja nikupe somo, hakuna mtu anaechukia mtu kwa sababu ya muonekano ama sura ya mtu, watu wanachukia watu kwa sababu ya matendo yaao,mienendo yao na maneno yao,mtu akikutukana mbele yako hauchukii kwa sababu unamuona bali unchukia kutokana na alichokisema,mtu akikutukana kwa kukuandikia meseji ya simu mathalani demu wako,haukasiriki kwa sababu namjua,bali unakasirika kwa sababu ya alichokiandika, na hata mimi maandishi ama maneno ya huyo mtu ndiyo yalionichukiza lakini lazima nichukie aliyeyaandika kwa ID yake hata kama sijawahi kuonana naeHivi katika dunia hii fekero ya MMU unaanzaje kumchukia mtu ambaye hata hujui jinsia yake, umri wake wala muonekano wake...!!!
ukishajua kwamba huwezi kupendwa wala kuchukiwa na watu wote wala huwezi kupata shida..........
avatar yako imenikumbusha mpenzi wangu wa kwanza kumpenda kwa dhati, you look so similar. nimependa sana hii picha
Jamani...pole! Maana kama ni wa kwanza ina maana kwasasa hayupo!. Huyo dada anaitwa Pokello,mshiriki wa BBA kutoka Zimbabwe.
Wewe ni mdini sana ndo mana raia wengi wanakuchukia unauselebiti gani sasa wewe?
pole sweetie, natania tu
plzzzz accept my apology mumiebaby utani gani huo me sitaki bwana
plzzzz accept my apology mumie
me white girl tu..cjui dada ana tatizo gani na mim
ananichukia huyoo
kila thred yangu yupo negativ tu ila sina tatizo nae mie
ni changamoto tu za kazi