Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,575
Aiseemm ilibaki kidogo tu nilogwe nilikula mtaa mzima watoto kwa wakubwa.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Aiseemm ilibaki kidogo tu nilogwe nilikula mtaa mzima watoto kwa wakubwa.
hahahaha hata kama mkuu, teni na ukwasi ulionao hutakiwi kunegotiate kabisa beiMzee tulia Kuna watu wako viwandani huko na hawaipati hio 10000 kwasiku....ye zoezi la kuumizwa dakika 10 tu Aforce maslahi mazuri wakati akitoka ndege anaingia Fred Kisha anaingia omary
Demu gani mkuu Ina maana kweli unamaanisha nianze kuwazingatia na wale niliowaacha sgd Dom na arusha..me naanza maisha mapya sasa sijapata demu wa permanent bado mpk nizoee mazingira
Kumbe kuna bei elekeziWe unatoaga Bei gani?kama ni zaid ya 30000 basi unapigwa kaka
Bei elekezi ni 4000 kushtuka kijoti kifo Cha Mende
Na ya kukaliwa kwa juu ni 10000.tofauti na hapo unaibiwa
ma.mae..jamaa bahili sana wewe..Amechafukwa na mwenyeweView attachment 1975174
Inategemea unaendaje ukienda na sura ya kiboss boss unapigwa Ila sisi watoto wa kitaa tunaelewa code zoteKumbe kuna bei elekezi
Kumbe huongi unanunua malaya.Kwa sababu raha tunapata wote halafu hao sio wake zetu..hawa ni chawote 10000 mkiwa Kumi ye anaingiza 100000..
duu awesome tunao toaga elfu 50 tucoment wapi
Ef 7 siku hiz wankalia ju pale buguruniWe unatoaga Bei gani?kama ni zaid ya 30000 basi unapigwa kaka
Bei elekezi ni 4000 kushtuka kijoti kifo Cha Mende
Na ya kukaliwa kwa juu ni 10000.tofauti na hapo unaibiwa
Acha kumtisha mwamba ,hiyo yoyote tu anapata ni Kama ajal kazin ,unaweza tulia na mmoja alafu huyo mmoja anakupanga kindez ,hapa toa ushaur tu kuwa mwamba akumbuke zanabaada ya mwaka uzi utasomeka
NATAFUTA MWANAMKE HIV POSITIVE TUYAJENGE
Maisha ndio haya haya bablai acha ajivinjari tu. Nyumba tutajenga wengine.Huyu kujenga asahau sasa! Kama biashara hii unaianza ukiwa na miaka 30 tayari kazi ipo!!!
We uzuri mzee alishawajengea shida ipo kwa yeye ambaye kazi ndio mkombozi wa maisha yake 😂Maisha ndio haya haya bablai acha ajivinjari tu. Nyumba tutajenga wengine.
Tunasubiria uzi wa kuwaponda Graduates kuwa hawana akili hawachangamkii fursa maana mishahara ikishafika mitatu tayari mnajionaga mmekuwa Said Salim Bhakresa 😂😂😂Mkuu asikwambie mtu raha sana kuwa na hela
Asubuh ndizi mchemsho wenye kuku na maji makubwa lita moja na nusu,mchana ubwabwa maharage ya Nazi mchicha na samaki..usiku samaki wa kukaanga bia na matunda fruit mixer..kesho yake mapema asubuh unapiga rost la maini huku ukiendelea kutengenza dodoso la posho kwa safari husika...
Hahaha kweli asee mimi sina haja ya kujenga tena.We uzuri mzee alishawajengea shida ipo kwa yeye ambaye kazi ndio mkombozi wa maisha yake 😂
Jamaa baada ya msoto kaotea mchongo anakula kwa kalamu sahizi 😂 acha atoe wenge kwanzaHahaha kweli asee mimi sina haja ya kujenga tena.