Okay MadamAhsante Sir.
Wakati fulani unapaswa ujiulize maswali nikwanini husifiwa, je kilasifa ni mnasaba yaani inaendana namimi, au nivijembe sijielewi.!???
Badala yake unakuja sehemu Kama hii unatoa sifa ulizonazo walizokupa wasichana. Lakini wanaume sijuwi wao nivipofu hawaoni wakakusifu!!?
Ni kipande cha mtu sio ?
Kwenda, naulizia gari za nini😀😀Unaulizia gari za Moshi au Mwanza ?
Sasa ndo umeongea madudu gani?You have just proved my pointHahahaha sitaki kuamini kwamba social media inalevya kiasi hiki, sena nikwambie kitu relax this is media life !
Skip mambo mengine sio lazima ujuwe what is it !
Comments nyingi wamekuponda, sasa NENDA KAJIUZE BASI HANDSOME BOYWivu tu hahahaha
Ndiyo maana wadada wanakupendea pua yako ilivo kama "boflo"😀😀endelea tu kujisifia.Hahahaha