Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Watanzania mnapenda kuongea sana
Laleni nyumbani mtulie
Amani na usalama uliopo ji kwa sababu ya vyombo vyetu makini vya dola
Msijifanye u much know saaaana...laleni mtulie
 
Hapo nilimaanisha kwamba/au niulize kwamba. Inamaana hakuna mfumo wa ulinzi ambao haumuhusishi rais? Mfumo ambao unajitegemea kiasi kwamba hata mkuu wa nchi akionekana anazingua una nguvu ya kudhibiti!
Nimekuelewa sana.

Kwanza elewa, huyu mTanzania nambari wani. Hiviunaelewa anacheo gani kwa hao waTanzania maalum unaowazungumzia?
Hivi unaweza kuelewa maana ya 'Amri' kwa hao jamaa inapotolewa na huyo mTanzania maalum!

Ni nani kati ya hao waliomo kwenye utaratibu unaouzungumzia anayeweza kuweka ubishi mbele ya 'amri' ya mTanzania huyu.

Unaweza kusema watu hao unaowazungumzia wapo nje ya kundi la hao wasio uliza ikitolewa amri.

Haya, kwa sasa kundi hilo utalitoa wapi. Hebu piga akili ujiulize kwa hali ilivyo sasa hivi.

Wewe huoni hata akina Mwinyi ni kauli za kujichanganya na kujiuma uma tu kwenda mbele? Ni nani unayedhani anaweza kukohoa kwa lolote.
 
Nimekuelewa sana.

Kwanza elewa, huyu mTanzania nambari wani. Hiviunaelewa anacheo gani kwa hao waTanzania maalum unaowazungumzia?
Hivi unaweza kuelewa maana ya 'Amri' kwa hao jamaa inapotolewa na huyo mTanzania maalum!

Ni nani kati ya hao waliomo kwenye utaratibu unaouzungumzia anayeweza kuweka ubishi mbele ya 'amri' ya mTanzania huyu.

Unaweza kusema watu hao unaowazungumzia wapo nje ya kundi la hao wasio uliza ikitolewa amri.

Haya, kwa sasa kundi hilo utalitoa wapi. Hebu piga akili ujiulize kwa hali ilivyo sasa hivi.

Wewe huoni hata akina Mwinyi ni kauli za kujichanganya na kujiuma uma tu kwenda mbele? Ni nani unayedhani anaweza kukohoa kwa lolote.
Kwamaana hiyo, kila raisi anapoingia anakuja na mfumo wake wa ulinzi wa nchi? Ina maana usalama wote wa nchi upo mikononi mwa jiwe?
Sawa yeye ni amirijeshi mkuu. Kwahiyo akiamua asitoke hakuna atakayemtoa! Na kwasababu mfumo upo hivyo inamaana raisi wote waliopita waliondoka kwamazoea tu ila wangeamua wangekaa madarakani coz wao ndio final say! Hakuna chombo chochote kilichopo juu yake!
 
Hata akilindwa kwani imeleta shida gani?? Kwamba watapewa siri za nchi..?? Siye tunajuaje kama kagame halindwi na wa huku pia..au museveni au kenyata..?? Mbona prof lipumba alikuwa mshauri wa masuala ya kiuchumi wa museven..vitu vingine ni kukosa hoja..zitto na lissu wanajua hilo?washtue kama hawajui ili wapost
Uzalendo ni pamoja na kujivunia kilicho chako
 
Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.

Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.

Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P
we brother Pascal Mayalla naona huu uandishi uliotukuka hujawahi kuuacha. Mimi nikupongeze tu mtu kutoka Guam
 
Iko wazi MBONA mfalme wa Guam ni pandikizi toka nchi ya kusadikika lengo kuu ni kuvuruga na kuivunjavunja nchi ya Guam kwa interest za nchi ya kusadikika. Ataivunjavunja kila eneo kuanzia uchumi, umoja, Amani, nk.Ili nchi ya kusadikika iwe juu kiuchumi, liko wazi hilo.
 
..nakubaliana na wewe kwamba tukio lile lilikiuka maadili. Ule ulikuwa ni UNYAMA.

..lakini natofautiana na madai yako kwamba ni tukio la kizembe, au aliyelitekeleza alikuwa mzembe.

..kwa maoni yangu waliotekeleza tukio lile ni watu waliofuzu na mahiri ktk kutumia automatic rifles.

..ndani ya muda mfupi, na katika mazingira magumu ambapo mlengwa hakuwa katika eneo la wazi, waliweza kurusha risasi 38 na kati ya hizo 16 zilimpata mlengwa.

..maana yake ni kwamba kwa kila risasi 2 walizorusha, 1 ilimpata mlengwa.

..kwa wenye uzoefu na automatic rifles watakubaliana na mimi kwamba washambuliaji walikuwa ni PROFESSIONALS.

..lakini pia washambuliaji hao waliweza kutoroka eneo la tukio bila KUKAMATWA na mpaka leo hii imeshindikana KUWATAMBUA.

..Again, natofautiana na wewe unaposema shambulizi lile ni la kizembe au lilitekelezwa na watu wazembe.
Naungana na wewe,wale jamaa salute kwao walikuwa professional sana
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
wenzio wanaongelea mfarume wa GUAM wewe unakurupuka na JIWE... hovyo kabisaa
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Ni kweli kabisa, kama ambavyo haiwezekani kwa:-
1.5tr ya Zitto

USIZUNGUMZIE PIA KUHUSU

GSR,
PIPAZ
KYATOOZ

KWA NN WAWAKILISHI WA GUAM HAWAKUWAHIKUJADILI MATUMIZI YAKE, KABLA YA MANUNUZI?

NA KAZA WA KAZA AMBAYO WAGUAM WANATAKA WAFAHAMISHE
 
K
Ukiona mtu anatoa shutuma dhidi yako na huzijibu wala kuzipinga basi "watasha" tunasema "there is a hidden truth, somewhere"..Yule dada (waliyempachika jina la Kahaba) kule Kwa Trump alisema kuwa Mkuu si Mtanzania (ni Mhutu aliyekuja na Mama yake kabla hajaolewa na kuzaa watoto wengine na Mzee Joseph)....Lakini Pia alishutumu Kwa "Uhakika wa Kiapo" kuwa Mkuu Analindwa Na "Watutsi" badala ya "Wabantu Wazawa wenzetu" ..shutuma zote hizi Nzito hazikujibiwa eidha kwa kuzipinga kwa ushahidi wa kweli au wa uongo hasa ikizingatiwa yule dada kule ng'ambo ana ushawishi mkubwa na "wafuasi" wengi wanaomwamini hivyo kuleta sintofahamu nyingi kwao.....Mkuu britanicca Kwenye hili Ukweli upo Mahali Fulani maana Waswahili husema "Lisemwalo Lipo".
Kwa akili za Mange kimavi Magu ni mhutu anayelindwa na watutsi,yaani kachemsha hata mtu asiyejua propaganda anajua mhutu na mtutsi hawaezi kuaminiana kwenye issue za ulinzi.
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Huna ujualo bora uendelee kutojua maana ukijua utafaidika sana.
 
Jee huu uvumi ni kwel? Labda maana wenye majukumu hayo ktk kisiwa cha Guam sasa wamepewa kazi nyingine e.g. kukusanya na kulinda magodown ya mazao ya mbaazi, mpunga, kahawa na zao pendwa korosho, kufunga ma - bureau de change, kujenga kuta n.k
 
Acheni uchochezi na wivu, nchi yetu imepiga hatua sana mpaka wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu, hili ni jambo la kupigiwa mfano duniani kote. Hakuna nchi yoyote iliyoweza kuweka "vivutio vya wanajeshi" kama nchi yetu tukufu. Na hizi ni "juhudi" kubwa za raisi wetu mtukufu na sasa ni dhahiri shairi tunaenda kuishinda hii "vita ya kiuchumi".
Mmmmhhhh
 
Naungana na wewe,wale jamaa salute kwao walikuwa professional sana

..kuna waliotaka kutuaminisha kuwa waliomshambulia Mh.Lissu ni sawa na vibaka tu unaoweza kuwaokota mtaani.

..lakini ukisoma taarifa kuhusu majeraha ya Mh.Lissu unakuta kuwa mengi yako miguu kati ya goti, nyonga, na baadhi tumboni.

..sasa fikiria kama risasi hizo zingempata KICHWANI au KIFUANI tungekuwa tunazungumza habari gani leo hii? JE, mwili wa Mh.Lissu ungepatikana ukiwa ktk hali gani?
 
Kwamaana hiyo, kila raisi anapoingia anakuja na mfumo wake wa ulinzi wa nchi? Ina maana usalama wote wa nchi upo mikononi mwa jiwe?
Sawa yeye ni amirijeshi mkuu. Kwahiyo akiamua asitoke hakuna atakayemtoa! Na kwasababu mfumo upo hivyo inamaana raisi wote waliopita waliondoka kwamazoea tu ila wangeamua wangekaa madarakani coz wao ndio final say! Hakuna chombo chochote kilichopo juu yake!
Ulivyoiweka haya kama kwa kukisia tu - chukulia kuwa kwa wakati huu tulionao, huko si kukisia tu; ni uhakika mtupu!
 
Back
Top Bottom