steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,430
- 10,052
Duh,sasa hiyo si itakuwa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa hilo la Guam,hao wanajeshi wakitumwa na Rais wao je wamfanyie kitu mbaya huyo Rais wa Guam si patakuwa hapatoshi hapo???
Ina maana hilo Taifa la Guam kwenye maadhimisho ya sikukuu zao za kitaifa kumbe wale makondoo wao wanaopasuaga matofali kwa meno kumbe wanafanyaga maigizo tu,uwezo hata wa kulinda banda la kuku la huyo kiongozi wa Guam hawana na ndio maana hawaaminiki
Balaa zito sana hili!!
Ina maana hilo Taifa la Guam kwenye maadhimisho ya sikukuu zao za kitaifa kumbe wale makondoo wao wanaopasuaga matofali kwa meno kumbe wanafanyaga maigizo tu,uwezo hata wa kulinda banda la kuku la huyo kiongozi wa Guam hawana na ndio maana hawaaminiki
Balaa zito sana hili!!