Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Kudhaniwa tiss raha sana huku mnapopaita mkoani ninapoishi kuanzia kazini hadi mkuu wangu wa idara hunidhania hivyo kwakuwa Mimi muda mwingi nipo kimya sina stori nao zaidi ya kichat jf naongea zangu na simu.. Basis Mimi wakinidhania hivyo sikubali wala sikanushi nawaaacha njiapanda
Yes, kudhaniwa ni TISS ni maujiko, kunasaidia ili watu wasikudhanie wewe ni mtu wa mchezo mchezo, na usikute ndio maana hata siku ile niliruhusiwa kuingia ikulu.
P
 
Kudhaniwa tiss raha sana huku mnapopaita mkoani ninapoishi kuanzia kazini hadi mkuu wangu wa idara hunidhania hivyo kwakuwa Mimi muda mwingi nipo kimya sina stori nao zaidi ya kichat jf naongea zangu na simu.. Basis Mimi wakinidhania hivyo sikubali wala sikanushi nawaaacha njiapanda
Hapa ninapoishi, usafiri wangu ni boda boda, nyumba haina uzio wala geti, boda boda yangu inalala nje, nguo tunaanika tunalaza nje. Majirani wana mageti na walinzi, wanavunjiwa na kuibiwa, lakini mimi hata kibaka tuu anapita mbali.

Kwenye appointments za kufanya interviews, sikataliwi, hata siku ile pale ikulu, nadhani nilipata fursa ya kuuliza swali kwa fikra hizo hizo.

Tatizo ni ukifanya kazi kwenye madudu, wafanya madudu wanakuwa very uncomfortable, nilipokuwa TBC, boss wangu alikuwa very uneasy na mimi, kila nikibuni trips za overseas approval ni faster faster.

Hata humu jf, watu wananiheshimu fulani na nimeisha ripotiwa kwa Max na Mike.
Ni heshima kubwa kulitumikia taifa at that capacity.
P
 
Mkuu naishia hapo na sitasema tena ila nimeumia mno, huyu mtu alosema bado yupo kwenye systems tena ngazi zenyewe za juu kabisa, kwanza nimewaza usiku mzima kwamba how comes Rais ni Wa Guam kwanini alindwe na hao wa hapo pembeni?

Kisa Mny*****enge aliyejiweka katika kamji ka kaskazini sehem.moja, sasa anawaamini origin yake ndo wa mlinde
Ule mtandao wa wikilikisi utatoa uzi muda siyo mrefu
 
Mkuu bado unayoileile ambayo ulikuwa unaenda nayo hadi Moro xl
Hapa ninapoishi, usafiri wangu ni boda boda, nyumba haina uzio wala geti, boda boda yangu inalala nje, nguo tunaanika tunalaza nje. Majirani wana mageti na walinzi, wanavunjiwa na kuibiwa, lakini mimi hata kibaka tuu anapita mbali.

Kwenye appointments za kufanya interviews, sikataliwi, hata siku ile pale ikulu, nadhani nilipata fursa ya kuuliza swali kwa fikra hizo hizo.

Tatizo ni ukifanya kazi kwenye madudu, wafanya madudu wanakuwa very uncomfortable, nilipokuwa TBC, boss wangu alikuwa very uneasy na mimi, kila nikibuni trips za overseas approval ni faster faster.

Hata humu jf, watu wananiheshimu fulani na nimeisha ripotiwa kwa Max na Mike.
Ni heshima kubwa kulitumikia taifa at that capacity.
P
 
Mkuu bado unayoileile ambayo ulikuwa unaenda nayo hadi Moro xl
No sijawahi kuwa na xl, ninayoitumia is now just parked nje kwangu. Nilikuwa naipigia trips za Arusha, Iringa, Dodoma etc.
Wakati ule wa Moro, nilikuwa nafanya Maonyesho ya Nane Nane Moro, mimi nakaa Dar, asubuhi naenda jioni narudi Far Moro ni just 90 min, Dar-Dodoma 4 hrs. Dar Moshi 5 hrs.
P
 
No sijawahi kuwa na xl, ninayoitumia is now just parked nje kwangu. Nilikuwa naipigia trips za Arusha, Iringa, Dodoma etc.
Wakati ule wa Moro, nilikuwa nafanya Maonyesho ya Nane Nane Moro, mimi nakaa Dar, asubuhi naenda jioni narudi Far Moro ni just 90 min, Dar-Dodoma 4 hrs. Dar Moshi 5 hrs.
P
Great man.. Nilisomaga Uzi kuhusu kuendesha pikipiki kwa umbali huo one day nikajitungua kutoka dar hadi Moro aisee ilikuwa great adventure
 
Point yangu sio kwamba naamini unachokisema wala nini hapana. Ukweli uko wazi kuwa tuliyenaye yuko kwa minajiri ya kuangusha uchumi hilo liko wazi, na tena wewe ni mmoja wa wanaomsapoti, katika fuatilia yangu sijaona posts yoyote ambayo inamzungumzia mfalme huyo vibaya ambayo uliwahi kuisapoti namaanisha baada ya 2016. Je kwanini nisiamini ya kuwa kuna walinzi toka rwanda ambao wanamlinda. Maana hata kwa macho tu jinsi mambo yanvoenda hata kma ni mwizi kivipi ila mtanzania, hawez fanya anayoyafanya. Kitu ambacho namaanisha inawezekan na ninaombee isewe kweli, lakin pia siwez kuamini chochote toka kwako, wewe na musiba hamna tofaut. Utofaut unakuja jinsi tu mnavotafuta vyeo.
Nikukumbushe tu pascal hii nchi ikianguka si wewe wala babu yako atakuwa salama haijalishi una phd au triple phd za elimu utafulia tu. Badala ya kulilinda tumbo lako sasa hivi tupigane kuikomboa nchi yetu isiingie katika vurugu.
Bahat mbaya naweza sema unaweza jikuta katika hangaika yako hujawahi gusa nchi zenye vurugu kama Drc,Burundi,south sudan na the like. Nakushaur ebu jaribu tembelea hizo nchi ukimaliza ebu tembelea kwenye kambi za wakimbizi popote dunian uone jinsi wenye elimu zao kama nyinyi walivorostika.
MARA MIA NIMUAMINI BRITTANICAA NA UONGO WAKE AMBAE WALAU ANAONEKANA ANAUMIA NA YANAYOENDELEA HATA KAMA NI MATANGO POLI KULIKO NIKUAMINI PASCAL AMBAE NAJUA KABISA MAANDISHI YAKO YAPO ILI UPATE CHEO

Pascal nakushauri hamia Zimbabwe
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
in fact sijawahi kuona mfalme akilindwa kiasi kile. inasemekana ni Kweli Guam mfalme wake analindwa na wajeda wa nchi jirani.
guam ni kisiwa cha amani dunia. Mitutu ya nini hadharani.? Mfalme wetu tuna amani usiogope
 
Hapa ninapoishi, usafiri wangu ni boda boda, nyumba haina uzio wala geti, boda boda yangu inalala nje, nguo tunaanika tunalaza nje. Majirani wana mageti na walinzi, wanavunjiwa na kuibiwa, lakini mimi hata kibaka tuu anapita mbali.

Kwenye appointments za kufanya interviews, sikataliwi, hata siku ile pale ikulu, nadhani nilipata fursa ya kuuliza swali kwa fikra hizo hizo.

Tatizo ni ukifanya kazi kwenye madudu, wafanya madudu wanakuwa very uncomfortable, nilipokuwa TBC, boss wangu alikuwa very uneasy na mimi, kila nikibuni trips za overseas approval ni faster faster.

Hata humu jf, watu wananiheshimu fulani na nimeisha ripotiwa kwa Max na Mike.
Ni heshima kubwa kulitumikia taifa at that capacity.
P
Kwa sasa you are no longer the former one.You are selling the nation for your lust of power and your stomach.Or you had your orders on what to do when you were questioned at parliament or state house.
Hakika wasomi wa bongo ni wafia tumbo
 
Rwandani.Wamemshika pabaya mkulu.
Wageni.wamelaza na usingizi fofofo.
RIP Tanzania.
Kama naanza kupata picha vile! Japo sijaiamini sana hii picha ila siielewi.. Juzi kati kama week 3 zilizopita nilikuwa naenda maeneo yangu ya kusaka tonge (bandarini). Nilikua na mchongo mmoja ulinilazimu kutoka home asubuh sana.
Muda wa saa 12 asubuh nilipokua mitaa ya uhasibu jirani na kambi ya mgulani... Niliona wajeda kadhaa wenye kwanda zilizochafuka na mabegi makubwa wakiingia kwenye ndinga moja la maana ila wajeda walikua wana bendera za Rwanda mabegani mwao. Nilishangaa kdg ila nikachukulia poa tu,
Mpaka leo nachukulia poa naamin labda kulikuwa na training fulani ya ushirikiano wa nchi hizo...

Anyway naamin hivyo na tuaminini hivyo.. Sidhani kama watanzania waliopewa dhamana ya ilinzi wa nchi na wananchi watakuwa wazembe kiasi hicho kurusu wageni wapenye maeneo nyeti.... No!
 
Back
Top Bottom