Uchaguzi 2020 Nilikuwa siamini, sasa nimeamini uchaguzi huu ni muhimu sana

Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu

Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.

Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.

Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?

JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Ameambiwa na watu wake kwamba hatoambulia hata 40%
 
Anayesema mitano tena sio ng'ombe ni Watanzania na hicho ndicho wanachokwenda kufanya in less than 10 hours to come.
Kwa sasa, endelea kuita ng'ombe, kesho baada ya matokeo, tutaheshimiana tuu.
P
Hao Ni ng'ombe ,ukiwemo na ww pia Ni ng'ombe ,unajipendekeza had aibu ,ndio maana magu alikuita njaa kumbe anakujua vema kuwa una njaa Kali Sana .

Credibility yako imeshuka vibaya mno na kwa kuliona Hilo umeamua ujianike Waz kuwa Bora tu uendelee kuwa fala ,na nasema hivi ww Ni fala mmoja wa kisukuma mwenye njaa Kali had makalioni.

Na ikimpendeza mungu huyo magu asikupe hata u dc unaoutaka kwa nguvu zote
 
Nasikitika kuona kuwa kumbe hujui waandishi wote na vyombo vyao wametishwa na wanazidi kutishwa na kusukumwa kutorusha matangazo ya TL kwa upana.! Sikudhani km kuna mtumiaji wa JF hajui hilo. Pole sana
Unasikitika nini huoni hata kuna waandishi walitia nia na Wanamrusha Queen Sendiga kuliko Lissu ,sasa wewe unaitisha mkutano hata mwandishi anashindwa kutoka na Eangle maana ni Personal Attack

Mfano.Juzi kasema Live kuwa Raisi ndie katekeleza shambulio lake wewe hapo kwa weledi wako utaweka hewani tu bila kubalance na hata ukibalance IGP kashasema mara ngapi dereva wake aletwe bongo

Pili kasema huko kusini kuna watu zaidi ya 400 wamekufa na sehemu zingine za nchi lini ulisikia kuwa kuna watu 400 wamekufa mimi leo ndio nimesikia na kibiti wakati watendaji na wenyeviti wa CCM ndio wahanga ikiwemo na Police wenyewe sasa watajipiga risasi wakati upinzani inaamini Police ni mali ya CCM.

Hayo yote anayaongea hakuwepo nchini kasimuliwa na hajui kama hajui ngoja kesho ukisikia 3/4 ya wabunge ni CCM basi jua Rais ni Magufuli

Mungu nipe uhai kesho nikampe kura Jemedar Amir Jeshi Mkuu wa Tanzania.
 
Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu

Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.

Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.

Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?

JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Mwanga na shetani hawakai zizi moja...lakima moja aondoke/atolewe ili mwingine aweze kutamba.
 
Sio kwa mapovu ya leo haya maisha bwana uchaguzi upite tu tuendelee na mambo mengine.
 
Magufuli ni hopeless sinner!Mara zote duniani kufunga mitandao na internet,kutumia jeshi na intelligence katika kuendesha uchaguzi ndiyo imekuwa silaha ya mwisho ya madikteta wote waliokuwa wanakaribia kuanguka madarakani... I never thought CCM inaweza kuja kuanguka kwa style hii na kwa mbinu za kijinga hivi.
Wamefanya kampeni miaka mitano wenyewe,, juzi napita sehemu kuna daraja lina ma picha ya mgombea wao upande mmoja ziko ka 30 picha za mtu mmoja🤣 same upande mwngne ...afu wanajita ni serikali ya wanyonge .. CCM ni ovyo
 
Hao Ni ng'ombe ,ukiwemo na ww pia Ni ng'ombe ,unajipendekeza had aibu ,ndio maana magu alikuita njaa kumbe anakujua vema kuwa una njaa Kali Sana .

Credibility yako imeshuka vibaya mno na kwa kuliona Hilo umeamua ujianike Waz kuwa Bora tu uendelee kuwa fala ,na nasema hivi ww Ni fala mmoja wa kisukuma mwenye njaa Kali had makalioni.

Na ikimpendeza mungu huyo magu asikupe hata u dc unaoutaka kwa nguvu zote
Hivi Mwanakijiji na Pascal Mayalla wote wasukuma eeh?
 
Unasikitika nini huoni hata kuna waandishi walitia nia na Wanamrusha Queen Sendiga kuliko Lissu ,sasa wewe unaitisha mkutano hata mwandishi anashindwa kutoka na Eangle maana ni Personal Attack

Mfano.Juzi kasema Live kuwa Raisi ndie katekeleza shambulio lake wewe hapo kwa weledi wako utaweka hewani tu bila kubalance na hata ukibalance IGP kashasema mara ngapi dereva wake aletwe bongo

Pili kasema huko kusini kuna watu zaidi ya 400 wamekufa na sehemu zingine za nchi lini ulisikia kuwa kuna watu 400 wamekufa mimi leo ndio nimesikia na kibiti wakati watendaji na wenyeviti wa CCM ndio wahanga ikiwemo na Police wenyewe sasa watajipiga risasi wakati upinzani inaamini Police ni mali ya CCM.

Hayo yote anayaongea hakuwepo nchini kasimuliwa na hajui kama hajui ngoja kesho ukisikia 3/4 ya wabunge ni CCM basi jua Rais ni Magufuli

Mungu nipe uhai kesho nikampe kura Jemedar Amir Jeshi Mkuu wa Tanzania.
Nimegundua kuna mambo mengi unayasikia ila hujataka kuyajua.
Mungu akizid kukupa uhai, jitahidi kuwa mdadis wa mambo hasa ya nchi.
 
Taifa hili ni zaidi ya Lisu na Amsterdam.

Selikali yangu kuzima mitandao ili kuzuia uhuni wa wajinga na wapumbavu wachache kina kigogo naunga mkono hoja.
Taifa hili ni zaidi ya Lisu na Amsterdam.

Selikali yangu kuzima mitandao ili kuzuia uhuni wa wajinga na wapumbavu wachache kina kigogo naunga mkono hoja.
Unaweza ficha ID ila huwezi ficha upuuzi wako utaonekana tu
 
Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu

Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.

Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.

Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?

JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Wamepanga kuiba kura
 
Back
Top Bottom