Bon king
Member
- Oct 28, 2020
- 6
- 0
Mi nnay lkn wakt server inazmwa yng ilkua off, kuja kuiwash nyooo haiconnect tn, m natumia vpn masterNyie ndiyo akina tomaso, mlitahadharishwa mpakue VPN mkapuuza as usual... Pole
Mi nnay lkn wakt server inazmwa yng ilkua off, kuja kuiwash nyooo haiconnect tn, m natumia vpn masterNyie ndiyo akina tomaso, mlitahadharishwa mpakue VPN mkapuuza as usual... Pole
Lakini pamoja na yote haya Max amekua akifuta thread nyingi kipindi hiki cha uchaguziMmiliki wa JF yupo hapahapa, hawezi kukubali kufunga wala kukataa kutofunga bila sababu za msingi.
Ameamua kuwanyima access kwa sababu hawana sababu za msingi
Hoja na maswali yako ni ya msingi sana.Ngoja tuoneTangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu
Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.
Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.
Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?
JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu
Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.
Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.
Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?
JPM na serikali yake wanalengsasa
Sikuwa na mpango wakwenda kupiga kura leo lakini kwa hili walilifanya sisim. sasa nakwenda kupiga kura na ninajua ntakapoipeleka.Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu
Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.
Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.
Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?
JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Sikuwa na mpango wa kwenda kupiga kura leo lakini kwa hili walilofanya sisim. sasa nakwenda kupiga kura na ninajua kura nitakapo ipeleka. mambo gani haya?Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu
Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.
Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.
Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?
JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Kuzuia mitandaoni ya kijamii kutaigharimu CCM. Wananchi wamechukia hata wale ambao walikuwa wawapigie Kura CCM tangu Jana wamebadilisha mawazo wanawapa upinzani Kura kuikomoa CCM.Hii yote ni kuzuia wapumbavu wachache kusambaza propaganda za kizushi! Watanzania linapokuja suala la uzushi mitandaoni tuko vizuri sana!
Sasa katika kipindi hiki cha kumzuia Amsterdam ni muhimu sana kuzuia wajinga wasilete ngebe mitandaoni
Hili ni kawaida kwa madiktetaTangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu
Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.
Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.
Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?
JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Sasa unafanya nn hapa mtandaoni, si uende ukawapepea watawala vitambi muda huu wakijiandaa kuiba kura?!.Hii yote ni kuzuia wapumbavu wachache kusambaza propaganda za kizushi! Watanzania linapokuja suala la uzushi mitandaoni tuko vizuri sana!
Sasa katika kipindi hiki cha kumzuia Amsterdam ni muhimu sana kuzuia wajinga wasilete ngebe mitandaoni
Hao ni washenzi , wanafiki, njaa kali ,wao huwa wanajitokeza kuwakemea wapinzaniWazee wa kamati ya AMANI wametulia kama hawapo
Wapo wengi wanaotumia mitandao ya kijamii hii kupotosha kuhusu uchaguzi mkuu. Uli kuepusha kusambaa kwa rumors it is better waifungie mpka uchaguzi upitee.Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu
Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.
Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.
Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?
JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Bora hata JF wameiachapole yetu