Kabla sijanunua gari, nilisikia mtu kapark gari ndani kwa kukosa hela ya mafuta na kuamua kutumia usafiri wa umma.
Tena nilishangaa mchizi mmoja jirani kapark Vitz akidai hana pesa ya wesee.
Nilikuwa nashangaa kama unaweza nunua gari ya 12 million unakosaje wese hata la 10k?
Sasa baada ya kujichanga na vimkopo vya hapa na pale nikavuta IST.
Ni siku ya tatu leo natembelea daladala nimekosa pesa ya wesee.
Kweli kua uyaone!!
Tena nilishangaa mchizi mmoja jirani kapark Vitz akidai hana pesa ya wesee.
Nilikuwa nashangaa kama unaweza nunua gari ya 12 million unakosaje wese hata la 10k?
Sasa baada ya kujichanga na vimkopo vya hapa na pale nikavuta IST.
Ni siku ya tatu leo natembelea daladala nimekosa pesa ya wesee.
Kweli kua uyaone!!