Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,351
Ila gari inachoka kinoma.- Pia kila aendapo kazini ahakikishe anapakia abiria 5 kwenye kituo anacho anzia
- Na kurudi hivyo hivyo
- Kawaida huwa nauli TZS. 2,000 kwa hizi gari binafsi
Kwa siku hakosi 10,000, kwa wiki hakosi 50,000 Hesabu ya mafuta ataiondoa kabisa baada ya kupata abiia wake permanent wa kwenda na kurudi. Kuna mdau hufanya hivi na hajawai kuishiwa fedha ya mafuta
hiden