Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,674
- 34,379
Sema nn hiyo ya kuzima taa za ndani usiku ukihis hatari hiyo ni tecnic nzuri Sana, itakusaidia kumuona adui kabla ya yeye kukuona, kwahiyo hata ww ukihis Kuna hatar nje usikimbilie kuwasha taa za ndani..hii kali