Nilijiunga na CHADEMA mwaka 2011, kabla ya hapo nilikuwa mkereketwa tu wa chama. Mwaka 2013 baada ya kuona mwelekeo wa chama unaenda ndivyo sivyo, ilinilazimu kuhama chama. Kumbe dalili za mvua zilijionyesha ni kipi kinachoenda kutokea. Nashukuru nilipima hizo dalili, na leo hii inajidhihirisha kilichobashiriwa, kwani sasa haieleweki chama kinaelekea wapi. Kwa matukio ya hivi karibuni, inajionesha, baba sharubu, mama sharubu na mtoto sharubu.
Nawashsuri ndugu zangu kama bado mna nia ya kujenga upinzani wa kweli mkae chini, mjitafakari ni wapi mlijikwaa, muondoe kasoro zote. Bila upinzani madhubuti, hata serikali haitoweza ona wapi inakosea.
Tunawatakia mafanikio mema ya kuangalia mlipojikwaa
Nawasilisha
Mbunge mtarajiwa
Nawashsuri ndugu zangu kama bado mna nia ya kujenga upinzani wa kweli mkae chini, mjitafakari ni wapi mlijikwaa, muondoe kasoro zote. Bila upinzani madhubuti, hata serikali haitoweza ona wapi inakosea.
Tunawatakia mafanikio mema ya kuangalia mlipojikwaa
Nawasilisha
Mbunge mtarajiwa