nilikuwa naumwa

Washawasha

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
16,652
13,076
Habari zenu watz wenzangu natumaihamjambo na mnaliendeleza libeneke kama kawa huko mliko,binafsi nilikuwa naumwa ila kwa sasa niko bomba.Nalog off
 
Nimetoka kuupitia uzi wa "memba waliopotea jf" Wewe ulikuwa mmoja wapo halafu charminglady akadai huwa naboreka na "log off" zako lakini sasa eti amezimiss...Mara hamad nakutana na wewe..dahh karibu sana mkuu Washawasha...

Kuna jamaa mmoja maeneo ya makao mapya levolosi Arusha na shoe shine yake anajiita Washa washa...sijui ndo wewe?
 
Last edited by a moderator:
Nimetoka kuupitia uzi wa "memba waliopotea jf" Wewe ulikuwa mmoja wapo halafu charminglady akadai huwa naboreka na "log off" zako lakini sasa eti amezimiss...Mara hamad nakutana na wewe..dahh karibu sana mkuu Washawasha...

Kuna jamaa mmoja maeneo ya makao mapya levolosi Arusha na shoe shine yake anajiita Washa washa...sijui ndo wewe?
nashukuru sana mkuu,ila huyo wa A Town siye mie.Nalog off
 
Nimetoka kuupitia uzi wa "memba waliopotea jf" Wewe ulikuwa mmoja wapo halafu charminglady akadai huwa naboreka na "log off" zako lakini sasa eti amezimiss...Mara hamad nakutana na wewe..dahh karibu sana mkuu Washawasha...

Kuna jamaa mmoja maeneo ya makao mapya levolosi Arusha na shoe shine yake anajiita Washa washa...sijui ndo wewe?

Huyo atakuwa ni IGWE!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom