Kivipi Mkuu...Hiyo dawa iko hata tra
fafanua kdg tupate Elimu kdg
Kivipi Mkuu...Hiyo dawa iko hata tra
😅😅.. tena nafanya biashara ya risk vby sana nahesabu hela daily . Haijawah punguka hata 100!tena hela zang nazitaftia uswahilini vby mno!Wewe hayajakukuta...au maybe hujawah kufanya biashara...au Kama ivo unabahati sanaa
Futa hiyo kichwani.
Amini tu kwamba umepoteza.
Huyo chuma ulete kwa nini anavizia elfu Kumi wakati minoti imelda Bank...
Mawazo ya kimasikini tu yafute.
Yaan nna elimu zaidi ya biashara mkuu..nasoma sana utunzaji wa hela...sina nguvu ya ziada...tena sina imani kubwa ya hivyooo sema najua Mungu ananilinda na kunipendaHongera, kwani lazima wewe una nguvu ya ziada.
Uchumi wa katikati 60,000 anaita kitita. Je Milion Moja si angeita Furushi la pesa?
Mkuu Wahindi wako kamili kwenye hayo mambo.Sababu nyote nyinyi hamna ibada sijamsikia muhindi mwenye duka akilalamika au mwarabu ni wafrika tu ndio wanaibiwa
Ni mdogo wangu kabisa na tabia za kuiba hana na ningejua km angefanya, wale wasaidizi nahisi walikua wanafanya yao akizubaa wateja wakiwa wengi labda.Mie nakuhakikishia ulikua either unaibiwa na huyo kijana au ulikua unaibiwa na wateja au wasaidizi wanaomenya viazi!
Nakumbuka enzi tunasoma kulikua na group fulan la wanafunzi wanakula bure ...yaana anaenda sehem yenye wateja weng akila anasepa...hao watu hawaishi dunian!ila nyie hamjaishi bado dunian...kikulacho!
Yaan ni vile wabongo hatupend kuchunguzaga mambo...siku ungekuja jua ungebak unashika tama....kuna watu wanakupiga in a sec tu ushaibiwa...chunguza .afu usiusemee moyo mkuu...narudia usiusemee moyo ..heheheee...mie niliwah muibia hubby hela nikainyaka yote na sio tabia yangu lakini niliiba niliona nimechoka...mpk leo anaamini ameangushaga ofisini ...imagine ss iweje huyo umuamini km Mungu! Usimuamini mtu wewe ...amkaaaNi mdogo wangu kabisa na tabia za kuiba hana na ningejua km angefanya, wale wasaidizi nahisi walikua wanafanya yao akizubaa wateja wakiwa wengi labda.
kuna watu wanaozindika biashara zao kibabe kama muhindi na mwarabu.??yaaan wewe unavunja nazi usiku usionekani ila muhindi anavunja nazi kweupeeee na kufanya matambiko yake...wanajikinga sana wale na haya mamboSababu nyote nyinyi hamna ibada sijamsikia muhindi mwenye duka akilalamika au mwarabu ni wafrika tu ndio wanaibiwa
Una akili sana...una akili mnoHamnaga hicho kitu. Kama hujapoteza basi umechanganya hesabu. Mtu hawezi ondoka na pesa kichawi.
hahahahaaaaa...Kitita cha elfu 60!!!???...
Kweli kabisa, mbongo hata akidondosha au kuibiwa atasingizia chuma ulete. Ni uongo tuMnaoamini chuma ulete kupiga hatua huwa ndoto!
Anywys!