Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,182
- 10,904
Alshabaab kuna fursa gani?Pole Sana pia
Alshabaab kuna fursa gani?Pole Sana pia
Ndio imekuwa hivyo sasa, hukubali? Kuna nyuzi amezitag, chukua muda wako kuzisoma utapata majibu.Mkuu- bado nukta hazikutani-
hukusoma formone siyo- ikawaje uingir form two
Haya yawe ya kweli na ya kheri! Nashauri pande zote mbili zipate ushahidi wa serikali za mtaa au / na polisi ikibidi pia mahakama.Natangaza mbele ya JF though hii sio thread naandika hii kama comment mtoto mdogo sana nitakuchukua uishi na mimi,Mungu akawe mtetezi wangu na MEMBER wote mliomfatilia ndugu yetu huyu tangu mwanzo hadi sasa mkawe mashahidi na watetezi wangu incase lolote au chochote kikitokea.
mtoto mdogo sana naomba nisikushtukize nakupa siku ya leo na kesho kusanya kila ulichonacho ambacho ni mali yako,kusanya vyeti,nguo,na kila unachojua ni mali yako huko magetoni ulipokua unaishi na masela zako.
Nakupa siku ya kesho waage wote uliokua nao,Jumatatu nakuhitaji uje nitakapokuelekeza uje, Jamani wandugu mtoto mdogo sana nimemtoa humu JF atakuwa ndugu yangu,atakua mdogo wangu Atanizika Nitamzika,here i am.
Sikuchukui kwasababu unateseka nakuchukua kwasababu nimepitia uliyopitia i can fell yor pains,sikuaminiwa nilipowaambia nimebadilika,hamna alie amini neno lililotoka mdomoni mwangu MUNGU TU NDIE ALIENIAMINI.
niliteseka nilisota nilitengwa mtoto mdogo sana najua huaminiki,najua unaogopwa najua kila mtu ana mashaka juu yako,kila mtu hakuamini,kila mtu anawasi wasi na wewe lakini leo mimi CONTROLA nakupa nafasi nyingine ya kua kijana mzuri nahitaji unidhihirishie hili ktk matendo yako kipindi chote tutakachokua pamoja.
Mr.karibu PM nakutumia direct my personal phone number,ni beep nitakupigia uwe na amani ufurahi sasa tumia siku ya leo na kesho maliza kila kiporo utakachokua nacho kuanzia JUMATATU utakua pembeni yangu kila ninapoenda,kila nitakapokua.
Nimemaliza mtoto mdogo sana nimeandika haya kweupee ili watu wayaone kwa makusudi kabisa,nakutumia namba yangu PM.
Hakuna kitu. story za vijiweni vilitaka kunipoteza kutokana na changamoto za maisha. Lakini namshukuru Mungu amenipa wepesi na ule ujinga umenitoka sasaAlshabaab kuna fursa gani?
Kwasasa Sina Muda Mkuu. ..mambo yashakuwa mengiWajisikia kutaka kujaribu?
OkKwasasa Sina Muda Mkuu. ..mambo yashakuwa mengi
Tupe hyo story bna maana nimecheka sanaHakuna kitu. story za vijiweni vilitaka kunipoteza kutokana na changamoto za maisha. Lakini namshukuru Mungu amenipa wepesi na ule ujinga umenitoka sasa
Nilifupisha kwa kusema, 90% ya mapito ya mtoto mdogo sana yamefanana na yangu. Tofauti Ni kwamba yeye Hana wazazi wote, Mimi Nina mama. Pia yeye ameshamaliza Chuo wakati Mimi nitamaliza mwakani. Ni summary tu. Nikiandika yote sitamaliza kwa wiki mojaTupe hyo story bna maana nimecheka sana
Allahumaa Amiiin 🤲Asante sana mkuu. Uzidi kuwa na moyo mkuu wa kutambua mchango na changamoto. Allah atakuzidishia
Mwenyeenzi Mungu akazidishe baraka katika maisha yako,akazidishe mapato ya shughuli zako zaidi mkaishi kwa furaha na upendo.Natangaza mbele ya JF though hii sio thread naandika hii kama comment mtoto mdogo sana nitakuchukua uishi na mimi,Mungu akawe mtetezi wangu na MEMBER wote mliomfatilia ndugu yetu huyu tangu mwanzo hadi sasa mkawe mashahidi na watetezi wangu incase lolote au chochote kikitokea.
mtoto mdogo sana naomba nisikushtukize nakupa siku ya leo na kesho kusanya kila ulichonacho ambacho ni mali yako,kusanya vyeti,nguo,na kila unachojua ni mali yako huko magetoni ulipokua unaishi na masela zako.
Nakupa siku ya kesho waage wote uliokua nao,Jumatatu nakuhitaji uje nitakapokuelekeza uje, Jamani wandugu mtoto mdogo sana nimemtoa humu JF atakuwa ndugu yangu,atakua mdogo wangu Atanizika Nitamzika,here i am.
Sikuchukui kwasababu unateseka nakuchukua kwasababu nimepitia uliyopitia i can fell yor pains,sikuaminiwa nilipowaambia nimebadilika,hamna alie amini neno lililotoka mdomoni mwangu MUNGU TU NDIE ALIENIAMINI.
niliteseka nilisota nilitengwa mtoto mdogo sana najua huaminiki,najua unaogopwa najua kila mtu ana mashaka juu yako,kila mtu hakuamini,kila mtu anawasi wasi na wewe lakini leo mimi CONTROLA nakupa nafasi nyingine ya kua kijana mzuri nahitaji unidhihirishie hili ktk matendo yako kipindi chote tutakachokua pamoja.
Mr.karibu PM nakutumia direct my personal phone number,ni beep nitakupigia uwe na amani ufurahi sasa tumia siku ya leo na kesho maliza kila kiporo utakachokua nacho kuanzia JUMATATU utakua pembeni yangu kila ninapoenda,kila nitakapokua.
Nimemaliza mtoto mdogo sana nimeandika haya kweupee ili watu wayaone kwa makusudi kabisa,nakutumia namba yangu PM.
njoo ulale kwanguNa Mimi sina pa kulala jomoni
Asante sana mkuu. Mimi pia huwa naamini Mungu ana makusudi na mimi.The world is full of good people, if you can’t find one, be the one. Naomba nikupe pole kwa changamoto zote za maisha ulizopitia ila ningependa tumshukuru Mungu kwa kuweza kukuvusha salama hadi leo umefika hapo ulipo. Pia Mungu awazidishie wote mliojitolea kumsaidia kijana wetu ili aweze kufanikiwa zaidi.
Tutafutane,0710364110Namaanisha sina Address.
Naishi kama electron.
Kwani inakatazwa? Mbona unakomalia hivyo? Kama ulishaisoma si unapita tu wengine ndo tunaiona hapaKuna sehemu nimekumention utaona nyuzi zake
Wabongo bhana....sawa wewe ndo umepitia magumu tangu ukiwa mchangaPole kwa kufiwa na wazazi
ila Amin kuwa kwa ulicho kiandika bado hujapitia magumu
Nilisikia wanamgambo wao hulipwa 300,000 kwa Siku. Pia nilikuwa nmechoka Hali duni na manyanyaso
Sio hivyo hujaelewa hapo nilipomkoti kuna comments za watu nyingi tu kila. Mtu. Anaelezea maisha yake aliyopitiaKwani inakatazwa? Mbona unakomalia hivyo? Kama ulishaisoma si unapita tu wengine ndo tunaiona hapa
Mkuu nimesoma zote bado naona kama msimulizi siyo mhusika halisi- ni third partyNdio imekuwa hivyo sasa, hukubali? Kuna nyuzi amezitag, chukua muda wako kuzisoma utapata majibu.