Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Nadhani wanaume wa Jf mnatakiwe mkasomee ukasisi maana huko mwiko kua na mwanamke ili tupunguze vilio vilio.... kishakwambia yupo na mumewe sasa unaanza kutoa povu wanawake mashetani sijui nini ulitaka akusubiri mpk lini wakati huoneshi kujivuta hata kapete ka machinga!!