Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,197
- 1,077,331
Kajiunga hivi karibuni lakini tayari ana utitiri wa sredi. S/he is prolificNaona uko na speed Sana na JF.
Kajiunga hivi karibuni lakini tayari ana utitiri wa sredi. S/he is prolificNaona uko na speed Sana na JF.
Mkongwe anaionea aibu acc yake ya zamani.Kajiunga hivi karibuni lakini tayari ana utitiri wa sredi. S/he is prolific
Daa hii inachekesha sasa jamaa akaona kusema amemaliza COHU itakuwa msala. Daa coet hatari sanaMnafukua makaburi
Wewe kilaza umesoma sociologyNdoto yangu ya kusoma degree yangu ya kwanza Mlimani ilianza nikiwa shule ya msingi.
Nilikua nikisikia tu story kutoka kwa dingi akisimulia mandhari na elimu ya pale Mlimani pindi wanasoma.
Basi ndipo nilipoanza kupiga kitabu kwa bidii ili nifike Mlimani. Hapo ilikua ni shule ya Msingi
Nilipiga kitabu sana mpaka kidato cha sita. Mungu si athumani nikachaguliwa kujiunga chuo cha MLIMANI pale COET kwa kozi ya Electrical Engineering. Kwakweli nilifurahi sana.
Harakaharaka nikaenda zangu MLIMANI. Kwakweli yale mazingira yalinivutia sana.
Mpaka nahitimu degree yangu ya kwanza bado natamani kurudi MLIMANI.
Una miaka 24, halafu udsm ulimaliza 2010?zamani sana mkuu, 2010
Sana aise narudi sio muda kupiga PHD kwenye mdegree
Sawa mkuu, labda utujulishe basi ulikuwa unapiga course gani pale
Elimu haina mwisho, fanya urudi tena.Ndoto yangu ya kusoma degree yangu ya kwanza Mlimani ilianza nikiwa shule ya msingi.
Nilikua nikisikia tu story kutoka kwa dingi akisimulia mandhari na elimu ya pale Mlimani pindi wanasoma.
Basi ndipo nilipoanza kupiga kitabu kwa bidii ili nifike Mlimani. Hapo ilikua ni shule ya Msingi
Nilipiga kitabu sana mpaka kidato cha sita. Mungu si athumani nikachaguliwa kujiunga chuo cha MLIMANI pale COET kwa kozi ya Electrical Engineering. Kwakweli nilifurahi sana.
Harakaharaka nikaenda zangu MLIMANI. Kwakweli yale mazingira yalinivutia sana.
Mpaka nahitimu degree yangu ya kwanza bado natamani kurudi MLIMANI.
Nadhani kuna mtu alitumia account yangu ya jamii forumNina Shahada ya Sociology natafuta kazi
Kwenye huo uzi anasema ana shahada ya sociology ila huu uzi aliouleta anasema alipiga electrical eng...!!
Jamaa liongo hili, huenda alipita tu njia kwenye viunga vya udsm akielekea kimara kupitia msewe akitokea mwenge basi anasema alisoma udsm...!!
Na ile kozi ya mafuta na gesi?Nadhani kuna mtu alitumia account yangu ya jamii forum
Oil and gas ndio nini naomba kueleweshwa kidogo mkuu.
Nina Shahada ya Sociology natafuta kazi
Kwenye huo uzi anasema ana shahada ya sociology ila huu uzi aliouleta anasema alipiga electrical eng...!!
Jamaa liongo hili, huenda alipita tu njia kwenye viunga vya udsm akielekea kimara kupitia msewe akitokea mwenge basi anasema alisoma udsm...!!