Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,008
.
Mkuu naomba kama unaweza kumuonyesha njia ili na yeye apate hizo dili, please naomba umsaidie. Ameandika kwa hisia sana mpaka nimepata uchungu. MsaidieWabongo acheni kulalamika Sanaa ingia chimbo mbona dili zipo kibao tuu
Simjaji ila jamaa nafikiri anapiga kilaji, pesa anateketeza huko, mpaka mama anaona ambebe tu, huo ni msalaba wake.Umeshakata tamaa na maisha ndiyo maana unakula na kuteketeza kila senti unayokopa. Mtu aliyekata tamaa ni laana.
Wazazi wangu hawakuenda hata darasa la kwanza lakini hawateketezi hela kama wewe uliyemaliza chuo kikuu mwaka 2009.
DStv iko kila mahali mkuu .....Ishi MAISHA yako, usiangalie ya wenzako.
Nenda retreat mbali na nyumbani, kajitafakari, achana na kilevi punguza, focus na mradi mmoja ulio na passion nao. Anza kidogo!
Kijijini una waya wa DSTV?? Hii chai, gahawa au Alkasusu??
Everyday is Saturday...............................