Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,365
- 1,462
Mimi ningeroga huyo askari.Mimi pia niliwekwa rumande siku tatu,vitisho vingi,,ila sikuteswa...kisa tu polisi alikua anataka Laptop yangu ambayo nimenunua kihalali,Bali sikua na risiti,nilinunua kwa jamaa yangu alitoka nayo China...mwisho wa siku nikawaachia Laptop,na elfu 60..nikatoka...mpaka leo anaitumia MacBook air