Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,708
- 45,072
Hiko kituo cha polisi bila shaka ni Mburahati
Jeshi mbona lishachafuka huko Mtwara ujasikia kilichotokea harafu tunaambiwa askari kajinyonga na dekio😂😂😂Dude mbona stori yako ni totally made up, na i can assure you kama ulitaarifa sehemu husika ungeoata assistance tu, not everyone is evil as you think na tambua kitu kimoja mpaka mtu anademand 20M that means una hela yakutosha na ana taarifa sahihi na kama ulimdanganya then ungepata chamtema Kuni.
Acha kuchafua jeshi na badala yake tafuta pesa hizo na wewe uwe na power.
Kawaida inatoka kabla ya mkataba sasa sijui ilikuwaje wakamwamini, kazi za ukandarasi sio za kuaminika ukute alilamba hasara na deni juu huko benkiAnaleta tabia zake za uchagani kutaka kumrusha hela Ngosha😂 lazma kiumane tu! We umepewa deal terms ziko wazi mmegee jamaa kipande chake maisha yaende.
Hela umeingiziwa kwenye account toa 10% mpe mwamba unaanza kuleta utoto tena.
Alitapeli 10 % huyu, ndio yakamkuta hayo masahibu.Hii stori iko nusu
Nachojua mtaka rushwa usipompa anakuacha na shida zako hakufuatilii
Sema ukweli
Itakua walimdhalilisha sana, itoshe tu kusema AKAE KIMYA na kuendelea na maisha yake. Siku nyingine asirudie KURUSHA WATU 10% zao.Jamani ni 2022 funguka kila kitu weka majina na vituo vyao vya kazi unadhan ukificha ficha ndio inasaidia
Naomba kuuliza hivi vituo vya police hawawezi kuviweka kwa hali ya usafi na kutengeneza mazingira mazuri kiafya juzi kuna rafki aliwekwa aliniambia pachafu sana ,miaka kwenda uchafu ushapitwa na wakati kwanin pasiwe pasafi tu
Halaf police wanapenda rushwa mdhamana mpaka pesa ndio anatoa waweke camera
Siwapendi police
Katiba mpya inahitajika haraka sanaSolution ni katiba mpya
Mimi nimeandika yaliyo nikuta ni ukweli halisi Sina sababu ya kuchafua yeyoteMwanaume unaanzaje kusema ulitaka kubakwa kituo cha Polisi?
Hadithi yake ina gapes kibao, kwanza Usalama wa Taifa hawajishughulishi na mambo ya arrest.
Na ikitokea Afisa usalama wa Taifa yuko joint venture na Polisi basi ujuwe hicho ni kikosi kazi kwa kazi maalum na hapo hakuna mizaha kama hii anayohadithia huyu jamaa.
Asante nimekamilisha lakini u bize ndio husababishaWhether ni chai au sio chai... Hii kuandika nusu nusu na kudai upo busy kwani tuliomba aandike!
Wanakera yaani.. Sometimes you wish hao police wangemvunja vidole kabisa ashindwe kutype.