Nilijua ni story tu ila dah! Pisi kali punguzeni kulia shida

Mabaharia wenzangu najua mpo salama kabisa na mnaendelea kulijenga hili taifa letu pendwa ili tupate maji na umeme wa uhakika bila kuitoa CCM madarakani.

E bhana niwe muwazi nishakutana na pisi zinazopiga vizinga sana tu ila hii niliokutana nayo jana ni balaa.

Ilikua hivi, baada ya kutoka kwenye mishe mishe usiku nikasema ngoja nikapooze koo kidogo huku nikiwa nacheki game ya mancity na PSG. Icho kiwanja nilichoenda palikua na pisi za kutosha sana nikaona sio mbaya niichukue moja inisaidie kutumia vihela vyangu kidogo.

Picha linaanza mtoto anakunywa heineken tu, hataki local beer. Nikasema dah kwavile nishayavulia ngoja nikomae. Binti anakunywa zile beer kama maji huku muhuni nikiwa nafaidi kulichezea chezea lile tako lake zuri.

Mida ya saa nane hivi nikaanza kuona simu za wife nyingi, ikabidi nichukue namba nirudi zangu home.

Tatizo limeanza leo anapiga simu nyingi sana mara hajala, mara umeme umeisha, kodi yake inakaribia kuisha kuna rafiki ake kamdhulumu simu yake kwaio hana simu anayotumia kaazima tu. Afu "mume wangu" nyingi sanaaa. Yaani haya yote yametokea leo baada ya kukutana nae jana.

Kiukweli mimi sionagi shida kutoa hela "kumsaidia" mtu anaenipa mbunye, ila hii ni too much, bora angeanza na kitu kimoja taratibu taratibu.

Pisi kali tunawapenda ila vizinga muwe mnapiga taratibu taratibu.

Uzi tayari.
Umeharibu ulipoitaja ccm
 
MREJESHO; Jana nilifanikiwa kumtafuna, ila nimekuja kugundua alikua ni malaya bhana. Maanake baada ya kumla nilitaka kumpiga calenda nisimpe hela. Dah huo moto alouwasha ikabidi nimpe wekundu 3.
Hahahahahaha kumbe alikuwa maraya carey😅
 
Sio kila mwanamke anaweza kukufaa, kama unamwona wa gharama achana nae, sio size yako.

Mwachie nafasi kutane na wanaotoa matumizi bila hata kuombwa..... wapo

Na hao ndio wanaomfaa na yeye ndio anayewafaa
Mtoa mada umemuelewa?
Hajagoma kuhudumia ila yeye tatizo lake shida zinakuja ki "package" sanaaa.

Bin dada anatakiwa kutoa shida ki series yaani moja moja.

#YNWA
 
Mtoa mada umemuelewa?
Hajagoma kuhudumia ila yeye tatizo lake shida zinakuja ki "package" sanaaa.

Bin dada anatakiwa kutoa shida ki series yaani moja moja.

#YNWA

Nimemuelewa sana. Na yeye aelewe pia ameyataka majukumu sasa ndio ayafanye yanayotakiwa😅😅😅😅
 
Unasapoti ushenzi

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app

Kwani Kuna ushenzi zaidi ya ule wa kumtaka mwanamke kwa ngono halafu hutaki yale anayoyataka yeye. Huko ndio kukosa akili😃😃

Mithali 6:32​

"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."
 
Back
Top Bottom