Streptokinase
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 268
- 421
- Thread starter
- #21
Aisee mi kuna moja la kichagga mpaka nikiwa napokea simu yeye mwenyewe anacheka kwanza yani utafikiri matatizo yanamfata yeye tu mara gesi imekata,mtoto ada mara baba anaumwa aisee nilijikuta naanza kuzeeka sababu ya majukumu ya ghafla
Dah wanazingua sana, me napiga then napotea