Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Kusema kweli mapambano ya ukombozi wa nchi yetu yametusomba sote kwa nyakati tofauti tofauti.
Nikwakutumia ukiritimba huu CCM waliweza kututeka kifkra hasa kwa kutumia kauli za zidumu fikra za mwenyekiti, na nyimbo kama:
"Chama cha cha mapinduzi *3
Dumisha Ujamaa.
Mwenyekiti Nyerere *3
Dumisha ujamaa"
Tuliimba sana tukiwa primary hasa tukisubiria viongozi au mwenge na huku tunapitwa na kupigiwa vumbi tu!
Nyimbo nyingine ambazo zilikuwa kama wimbo wa taifa ni:
"Chama chama kimetukomboa chama........
Kwa taarifa hii naamini kuwa watanzania wote watu wazima tumejivua gamba na kwa msaada wa makamanda wa ukweli (CHADEMA) 2015 TUNAONDOA GAMBA IKULU!
Nikwakutumia ukiritimba huu CCM waliweza kututeka kifkra hasa kwa kutumia kauli za zidumu fikra za mwenyekiti, na nyimbo kama:
"Chama cha cha mapinduzi *3
Dumisha Ujamaa.
Mwenyekiti Nyerere *3
Dumisha ujamaa"
Tuliimba sana tukiwa primary hasa tukisubiria viongozi au mwenge na huku tunapitwa na kupigiwa vumbi tu!
Nyimbo nyingine ambazo zilikuwa kama wimbo wa taifa ni:
"Chama chama kimetukomboa chama........
Kwa taarifa hii naamini kuwa watanzania wote watu wazima tumejivua gamba na kwa msaada wa makamanda wa ukweli (CHADEMA) 2015 TUNAONDOA GAMBA IKULU!