Nilijiuliza naangalia Superhero au movie ya kawaida?

Binafsi naona wali'set the bar up high na F7.

Wanajaribu ku'maintain ile spirit yao ya kuwa na matukio yenye kuamsha hamasa na kutoa macho ya watazamaji, kwa kuongeza celebs kwa cast, bombastic actions sequences (kudos kwa masumaku! ), na set-ups for either spin-offs au next chapters.

Koote huko kunawapelekea kuongeza hadi yanayokuja kuonekana hayakuwa na maana/uhitaji wa lazima kuwepo kwenye Movie for it to make sense (mfano, Cardi B na ile team yake, unless yo a fan of Cardi B. No offense!).

Kwenda space na kagari... . Katakuwa kazito balaa.

Ila all in all, haikuwa mbaya saana (ukiitizama yenyewe kama movie zilitolewa July, ukiacha kui'compare na FF movies zingine).
Sasa wametokota kabisa na si kuchemsha
 
Ni action movie hivyo tegemea actions za kutosha.

Wapenda action wameielewa though it's just a movie hivyo usitegemee kila kitu kuwa realistic sababu lengo kuu ni kuinjoy movie.

Ukitaka realistic basi check drama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom