Mwali Mwanangu yupo hapo Tanzania Mwanangu wa kiume naona kiumri mko sawa na wewe au kakuzidi kidogo umri niliokuwa nao bado nijifundishe kutongoza? nilijifundisha kutongoza mnamo mwaka 1974 nilipokuwa namaliza shule ya msingi mpaka leo bado nijifundishe kutongoza hahahahah kazi kweli nimeshakuwa mzee Mwali natania tu.Sijambo. Kama alijifunzia hapo, maana yake ni definitely under 30 as I assume alianza kujifunza before 20 (miaka ya University)
How old do you think I amMwali Mwanangu yupo hapo Tanzania Mwanangu wa kiume naona kiumri mko sawa na wewe au kakuzidi kidogo umri niliokuwa nao bado nijifundishe kutongoza? nilijifundisha kutongoza mnamo mwaka 1974 nilipokuwa namaliza shule ya msingi mpaka leo bado nijifundishe kutongoza hahahahah kazi kweli nimeshakuwa mzee Mwali natania tu.
Nyimbo niliyokuwa najifundishia kutongoza ni hii hapa hebu angalia MwaliSijambo. Kama alijifunzia hapo, maana yake ni definitely under 30 as I assume alianza kujifunza before 20 (miaka ya University)
How old do you think I am
Nope! and don't have a second guess please.>27................?
i don't know i guess you age is 25.How old do you think I am
Nope! and don't have a second guess please.
looool
Nope!i don't know i guess you age is 25.
Yuko wapi? namtafuta. Amepita hapa?umemuona deskmate wako?
Here I am, the only person in JF who knows your exact age.Yuko wapi? namtafuta. Amepita hapa?
So how old you Mwali?Nope!
But this gives me a good idea of how people perceive me here...
Natumia mchina hapa nisaidieni,ndo wimbo upi huo?
Mkulu klorokwini Tuambie Mwali ana miaka mingapi? Tusije tukachumbia watoto wetu hahahahahahahHere I am, the only person in JF who knows your exact age.
Simwambii mtu lakini.