Nilijifunza kupiga punyeto hapa jukwaani, glycerine ilitaka kuniua

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Nakumbuka mwaka 2010 ndiyo nilijiunga hapa, enzi hizo niko kidato cha tatu. Zama zile kulikuwa na jukwaa la wakubwa na ili ilitembelee ilikuwa ni lazima mods wakuunge.

Basi nikaomba kuungwa, nikawa nashinda huko. Katika peruzi zangu nikakutana na uzi unafundisha namna ya kupiga puli kwa njia mbalimbali.

Nilianza kwa kutumia sabuni, nikawa mteja. Basi kuna siku nilikosa sabuni, nikatumia mate. Kwasababu ya ukomavu wa mkono wangu nikaona kama najiumiza. Ghetto kulikuwa na glycerin, yale mafuta yana joto sana.

Nilipiga puli kuanzia saa mbili asubuhi hadi lunch time, baada ya msosi nikarudi tena ghetto, nikapiga tena hadi muda wa kuangalia Isidingo.

Baada ya hapo nikawa hoi sana, kichupa cha mafuta kimeisha, nikaumwa wiki mbili na nilichoumwa sikijui lakini niko hoi.

Tangu hapo sikurudia tena!
 
Hiyo ni kama parachute miavuli ya makomando?
Haya hapa..

images.jpeg
 
Nakumbuka mwaka 2010 ndiyo nilijiunga hapa, enzi hizo niko kidato cha tatu. Zama zile kulikuwa na jukwaa la wakubwa na ili ilitembelee ilikuwa ni lazima mods wakuunge.

Basi nikaomba kuungwa, nikawa nashinda huko. Katika peruzi zangu nikakutana na uzi unafundisha namna ya kupiga puli kwa njia mbalimbali.

Nilianza kwa kutumia sabuni, nikawa mteja. Basi kuna siku nilikosa sabuni, nikatumia mate. Kwasababu ya ukomavu wa mkono wangu nikaona kama najiumiza. Ghetto kulikuwa na glycerin, yale mafuta yana joto sana.

Nilipiga puli kuanzia saa mbili asubuhi hadi lunch time, baada ya msosi nikarudi tena ghetto, nikapiga tena hadi muda wa kuangalia Isidingo.

Baada ya hapo nikawa hoi sana, kichupa cha mafuta kimeisha, nikaumwa wiki mbili na nilichoumwa sikijui lakini niko hoi.

Tangu hapo sikurudia tena!
Acah upumbafu kjn

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom