themankind
Member
- Jun 28, 2011
- 40
- 38
Jamani great thinkers naombeni mnisaidie cha kufanya;-
Nilianzisha biashara ndogo fulani mwaka jana lakini kutokana na uelewa mdogo wangu wa mambo ya kodi nilihadaiwa na mwanaTRA mmoja akanikadiria kodi kubwa sana ambayo nimeshindwa kuimudu kulingana na biashara yangu,natamani kufunga hii biashara lakini roho inaniuma kwani niliteseka sana kufikia hapa, na cha kusikitisha waliniamuru kulipa robo tatu za mwaka kabla sijaanza biashara,nimebakiwa kulipa robo ya mwisho na nikiangalia na hasara niliyoingia natamani kutokulipa hiyo robo ya mwisho.Kwa yeyote anaejua taratibu za kufuata kupeleka malalamiko yangu na nikasikilizwa na hawa jamaa wa TRA naombeni mnipe nifanye hivyo,vinginevyo nitashindwa kuendelea na biashara hii.
Nilianzisha biashara ndogo fulani mwaka jana lakini kutokana na uelewa mdogo wangu wa mambo ya kodi nilihadaiwa na mwanaTRA mmoja akanikadiria kodi kubwa sana ambayo nimeshindwa kuimudu kulingana na biashara yangu,natamani kufunga hii biashara lakini roho inaniuma kwani niliteseka sana kufikia hapa, na cha kusikitisha waliniamuru kulipa robo tatu za mwaka kabla sijaanza biashara,nimebakiwa kulipa robo ya mwisho na nikiangalia na hasara niliyoingia natamani kutokulipa hiyo robo ya mwisho.Kwa yeyote anaejua taratibu za kufuata kupeleka malalamiko yangu na nikasikilizwa na hawa jamaa wa TRA naombeni mnipe nifanye hivyo,vinginevyo nitashindwa kuendelea na biashara hii.