EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Yapata zaidi ya wiki sasa nimekuwa naonekana kwa machale hapa jukwaani,
Hii imekuwa ikitokana na sababu mbalimbali zilizokuwa nje ya uwezo wangu jamani,
Mwanzoni ka kompyuta kangu kaligoma kuniruhusu kuingia hapa jukwaani,
Mara tena nikawa na mizunguko kama mheshimiwa fulani,
Ila kwa sasa nimerudi, tena nimerudi kwa kasi aminini
Vesi hizo.......
Hii imekuwa ikitokana na sababu mbalimbali zilizokuwa nje ya uwezo wangu jamani,
Mwanzoni ka kompyuta kangu kaligoma kuniruhusu kuingia hapa jukwaani,
Mara tena nikawa na mizunguko kama mheshimiwa fulani,
Ila kwa sasa nimerudi, tena nimerudi kwa kasi aminini
Vesi hizo.......