Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Wanabod Mimi ni mwalimu niliyekuwa nafundisha advanced level mwaka jana nilipitiwaga na sakata LA uhamisho wa kwenda kufundisha primary
Ki ukweli mambo huku ni magumu yaan madogo hawanielew kbsaa pia hata mim najikuta vitu nilivyosomea naanza kusahau kabisa
Je nitumie mbinu gani niweze kurudi kwenye idara yangu ya awali?
Msaada tafadhar
Sent using Jamii Forums mobile app
Ki ukweli mambo huku ni magumu yaan madogo hawanielew kbsaa pia hata mim najikuta vitu nilivyosomea naanza kusahau kabisa
Je nitumie mbinu gani niweze kurudi kwenye idara yangu ya awali?
Msaada tafadhar
Sent using Jamii Forums mobile app