dendaboy
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,084
- 742
Naomba niwatetee airtel, kwenye bando wako vizuri aliishi haraka kama voda wako fair sana kwenye hilo, changamoto yao ni 4G yao tu ndo haiko strong, wajitahidi kusambaza minara ya 4G Dar yote then ndo wahamie mikoani.
View attachment 1353944
Mkuu unapaswa kufikiria vizuri kabla ya kuandika, wewe umeleta menu umebandika, hiyo menu wote tunaijua kinachosemwa nikuwa wanakuambia kuwa kifurushi cha week ni 2000 unanunua wanakupa GB I kabla hujakitumia wanakuambia balance yako ni 81mb hilo ndilo tatizo lililopo, iweje baada ya masaaa kumi wakuambie hivyo Wakati bado kifurushi hujakitumia?Naomba niwatetee airtel, kwenye bando wako vizuri aliishi haraka kama voda wako fair sana kwenye hilo, changamoto yao ni 4G yao tu ndo haiko strong, wajitahidi kusambaza minara ya 4G Dar yote then ndo wahamie mikoani.
View attachment 1353944
Mkuu unapaswa kufikiria vizuri kabla ya kuandika, wewe umeleta menu umebandika, hiyo menu wote tunaijua kinachosemwa nikuwa wanakuambia kuwa kifurushi cha week ni 2000 unanunua wanakupa GB I kabla hujakitumia wanakuambia balance yako ni 81mb hilo ndilo tatizo lililopo, iweje baada ya masaaa kumi wakuambie hivyo Wakati bado kifurushi hujakitumia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Slope = slant/inclination of a part of the earth
Mkuu nitumwe na Nani? Lazima niseme wameniibia, ni wezi wakubwa wameiba nimeweka vocha Jana saa mbili usiku nikanunua kifurushi cha GB moja sijatumia hata mb 200 inakuwaje waniambie kuwa nimebaki na mb 81.89? Na cha ajabu nikawauliza Mara Tatu wanajibu hivyo hivyo ila baada ya kuleta malalamiko humu sasa hivi nikicheck wananiambia kuwa Nina MB 360
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka niluletee ushahidi wa coment zako ukiwa na chadema wenzio?Epuka kauli jumuishi!
Duuuh,wewe ni CCM?Kila asiye CCM ni CDM?Nikipinga matendo ovu ya serikali ya CCM,tayari nakuwa CDM?Unataka niluletee ushahidi wa coment zako ukiwa na chadema wenzio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaani, naunga mkono huyu katumwaHivi kuna mtandao wezi wa data kama tigo?
mleta mada umetumwa?
Naomba niwatetee airtel, kwenye bando wako vizuri aliishi haraka kama voda wako fair sana kwenye hilo, changamoto yao ni 4G yao tu ndo haiko strong, wajitahidi kusambaza minara ya 4G Dar yote then ndo wahamie mikoani.
View attachment 1353944
Wakuu juzi baada ya Tigo kuondoa vifurushi vya wanyonge nikaona isiwe taabu nikapata ushauri Kwa watu wengi kuwa nirudi nyumbani kumenoga nikawauliza ndio wapi huko? Wakasema kunaitwa Airtel basi nikanunua laini kwa mbwembwe zooote nikajiunga jana kifurushi cha week nikapata GB 1 nikasema hapa sawa sitoki.
Basi wakuu nilijiunga usiku jana; leo nimeigia FB tu mara chache na JF, mara tatu sasahivi nacheki balance wananiambia kuwa balance ni 81.80 MB. Khaaaaa, hawa ndio wezi wakubwa kuliko hata Tigo.
Yani nimekimbia mkojo nimekuja kukanyaga mavi; walahi nimejuta hatari.
Sent using Jamii Forums mobile app