kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,890
Kwa kweli nilifurahi sana na wakifungwa tena mpaka watolewe nitafurahi
Chanzo ni kuchanganya mpira na siasa na kuifanya taifa stars kama mali ya ccm
Wamesahau kuwa mpira hauchanganywi na siasa??maana mashabiki wanatoka vyama vyote
Na wafungwe tu...ukizingatia yule jamaa zero kila kitu ni zero eti awasimamie washinde hiyo ni ndoto
Zero ni zero tu
Nilifurahi sana
Chanzo ni kuchanganya mpira na siasa na kuifanya taifa stars kama mali ya ccm
Wamesahau kuwa mpira hauchanganywi na siasa??maana mashabiki wanatoka vyama vyote
Na wafungwe tu...ukizingatia yule jamaa zero kila kitu ni zero eti awasimamie washinde hiyo ni ndoto
Zero ni zero tu
Nilifurahi sana