VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Si maneno yangu.Ni maneno ya mwanafunzi wa mwaka wa nne wa Shahada ya Kwanza ya Uhandisi-Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anayemalizia masomo yake ya miaka minne chuoni hapo.Mwanafunzi huyu aliwahi kufukuzwa kutoka masomoni chuo hichohicho kwa kushiriki kama kiongozi katika mgomo uliwahusisha wanafunzi mwaka jana.
'Wakati huo nilikuwa mwaka wa nne muhula wa kwanza.Kweli nilikuwa kiongozi wa 'kunji'.Nikashtakiwa na kukutwa na hatia. Lakini,nilipopokea barua ya uamuzi wa Baraza la Chuo juu ya kufukuzwa masomo nikaamua kupuuza.Nikaendelea na masomo. Nikafanikiwa kupata huduma zote ukiwemo mkopo wa masomo kutoka Bodi.Hadi Ijumaa ijayo namalizia masomo yangu' ametamba mwanafunzi huyo.
'Nilijiandaa kuja kukuona kaka kwa huduma za kisheria kama mambo yangu yangekwenda ndivyo sivyo. Kama wangeshtukia 'dili' langu' aliongeza. ANGALIZO: Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi!
Hayawi hayawi sasa yamekuwa...
'Wakati huo nilikuwa mwaka wa nne muhula wa kwanza.Kweli nilikuwa kiongozi wa 'kunji'.Nikashtakiwa na kukutwa na hatia. Lakini,nilipopokea barua ya uamuzi wa Baraza la Chuo juu ya kufukuzwa masomo nikaamua kupuuza.Nikaendelea na masomo. Nikafanikiwa kupata huduma zote ukiwemo mkopo wa masomo kutoka Bodi.Hadi Ijumaa ijayo namalizia masomo yangu' ametamba mwanafunzi huyo.
'Nilijiandaa kuja kukuona kaka kwa huduma za kisheria kama mambo yangu yangekwenda ndivyo sivyo. Kama wangeshtukia 'dili' langu' aliongeza. ANGALIZO: Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi!
Hayawi hayawi sasa yamekuwa...